Acha bangi weweChris Brown anacheza kuliko Michael Jackson mwenyewe
Sema ten American top dancers siyo duniani mbona kuna aina tofauti na mitindo tofauti ya kucheza duniani!?....INA maana Michael anaweza kumshinda kucheza mwanamziki anayecheza staili za kiafrica!chris brown hujamtendea haki mkuu kweli usher number 3 chris six noooo chris 3
Roshan mtoe umuweke ARJUN mzee wa Arya Mr perfect India yote inamjua ok.1.Michael Jackson, 2.MC Hammar, 3.Usher Raymond, 4.Omarion, 5.Hrithik Roshan, 6.Chris Brown, 7.Jason Derulo, 8.Justine Timberlake, 9.Ne-Yo, 10.Bruno Mars. labda bonus man atakaa Justine Bieber.
Elvis Presley mnamjua?hahaa styl za chris zooote ni marudio ya styl za wacko jacko hamna kipya palee
Elvis Presley mnamjua?
Mnazingua,mbona sijawaona Supa Nyamwela na Black Moses.
Ni kwa sababu kashirikishwa. Hakuna jinsi Criss Brown anaweza kumfunika Usher. Tazama video za usher, ni kama mwalimu na mwanafunzi.ndiyo mkuu angalia hata nyimbo ya party chris kamfunika usher
Katika hii list naongeza hapo Boney M. na Donnel Jonnes kabla au baada tu ya jina la MJ. kama umeyapanga katika order. Lakini najiuliza ni kwa nn hujaweka dancers wa Africa? maana hakuna kama Africa, Africa kuna waliovunja record, hasa wa zamani labda unaweza ku.google kuwapata.1.Michael Jackson, 2.MC Hammar, 3.Usher Raymond, 4.Omarion, 5.Hrithik Roshan, 6.Chris Brown, 7.Jason Derulo, 8.Justine Timberlake, 9.Ne-Yo, 10.Bruno Mars. labda bonus man atakaa Justine Bieber.
Bollywood star-India.hahahaha huyo Hrithik roshan ni wa wap