Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Mmm!!! hamna nchi ya Africa hata moja duh, ila nikweli Education system yetu nimajanga, hairuhusu kukuza IQ za watoto tuna kalilishwa kila kitu bila kutumia akili, watoto wanaduma tu......