nyabhingi JF-Expert Member Oct 12, 2010 15,515 20,005 May 26, 2014 #21 yani nimeshindwa kumuelewa,sijui ni kidhungu au hajui kujieleza huyo mmama!!!
hyusuph JF-Expert Member Dec 5, 2013 1,655 686 May 26, 2014 #23 m_kishuri said: Mkuu Hyusuph, hi gauni ilivaliwa na Toni Braxton kwenye Grammy Awards ya 2001. Na hii ndio picha yake ya sasa hivi: Click to expand... Ahaaa Kweli bwana pale naona pale alikuwa kijana na iyo ya chini amezeeka bwana uso umekuwa mnene kwelii
m_kishuri said: Mkuu Hyusuph, hi gauni ilivaliwa na Toni Braxton kwenye Grammy Awards ya 2001. Na hii ndio picha yake ya sasa hivi: Click to expand... Ahaaa Kweli bwana pale naona pale alikuwa kijana na iyo ya chini amezeeka bwana uso umekuwa mnene kwelii
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Aug 17, 2011 37,450 25,591 May 27, 2014 #24 Duhh....Hilo vazi ni balaa!!
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,375 May 27, 2014 #25 hyusuph said: Dah hawa wenzetu yaani hawazeekagi yaani hii ndio Nguo ya mama mwenye 46 yrs !!! Click to expand... Hiyo picha amechukua ya zamani si ya hivi karibuni ya hivi karibuni hiyo hapo
hyusuph said: Dah hawa wenzetu yaani hawazeekagi yaani hii ndio Nguo ya mama mwenye 46 yrs !!! Click to expand... Hiyo picha amechukua ya zamani si ya hivi karibuni ya hivi karibuni hiyo hapo
Angel Nylon JF-Expert Member Jul 26, 2011 8,319 16,487 May 27, 2014 #26 mwanajimbah said: Mamaae kweli kingerezaa nyoko.... Yaanii baada ya kujadili kilichooandikwaa mnajadili mavazii... Click to expand... Kwenye umbea kidhungu huekwa pembeni la sivo umbea utakua haupandi
mwanajimbah said: Mamaae kweli kingerezaa nyoko.... Yaanii baada ya kujadili kilichooandikwaa mnajadili mavazii... Click to expand... Kwenye umbea kidhungu huekwa pembeni la sivo umbea utakua haupandi
Heloo JF-Expert Member Apr 3, 2012 4,391 3,402 May 28, 2014 #27 ROBERT MICHAEL said: Ukiongea au kusoma kingereza lazima mishipa ikutoke kichwani. Click to expand... fafanua mana umenitisha mana nasomea LINGUISTIC MAMBO YA PHONETICS,SOCIOL BIOLOGICAL....YAANI ENGLISH..SASA MISHIPA INAKUJAJE?
ROBERT MICHAEL said: Ukiongea au kusoma kingereza lazima mishipa ikutoke kichwani. Click to expand... fafanua mana umenitisha mana nasomea LINGUISTIC MAMBO YA PHONETICS,SOCIOL BIOLOGICAL....YAANI ENGLISH..SASA MISHIPA INAKUJAJE?