kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Kuanzia Same,Mwanga,Rombo,Moshi yote, hadi Siha mpaka Meru kumekucha
Kwakweli najivunia kuwa mchaga
Nganria wari innu mpaka
Ngikelya nyama sa mburu,mpaka kieleweke
Yaani moshi komkya wandu wakwa!!
Yaani toka nimekuja moshi nishasahau Chai, ni mbege tu,bia na masupu mpaka kuchee yaani
Mimi ni mchaga Og najivunia kwakweli, tule tulewe hadi mwaka mpya uingie nishakua kafiri haswa...
Jamani mila ni nzuri sana niache mbege nina kichaa?
Nina kisusio nina kichaa?
Niache kula supu, nyama nina kichaa
Wachaka wensake lufure na ishukuru mndumi iruva kwaluninga muu/uhai mpaka yenu sikukuu yalukoya ndao
Aika/Eka mndumi iruva kwa sikukuu...
Jamani tusiache mila tudumishe mila
Kwakweli najivunia kuwa mchaga
Nganria wari innu mpaka
Ngikelya nyama sa mburu,mpaka kieleweke
Yaani moshi komkya wandu wakwa!!
Yaani toka nimekuja moshi nishasahau Chai, ni mbege tu,bia na masupu mpaka kuchee yaani
Mimi ni mchaga Og najivunia kwakweli, tule tulewe hadi mwaka mpya uingie nishakua kafiri haswa...
Jamani mila ni nzuri sana niache mbege nina kichaa?
Nina kisusio nina kichaa?
Niache kula supu, nyama nina kichaa
Wachaka wensake lufure na ishukuru mndumi iruva kwaluninga muu/uhai mpaka yenu sikukuu yalukoya ndao
Aika/Eka mndumi iruva kwa sikukuu...
Jamani tusiache mila tudumishe mila