MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Adam usirogwe,,,,,,utajuta,,,,,,,kama alikukataa,,,,basiKama unampenda...msamehe.yaliyopita si ndwele ganga yajayo. Cha msingi fanya uchunguzi kama na yeye anakupenda.epuka kuenenda kwa hisia.
huyu ni Hawa mwenye sifaa zote nimejitahidi samwaka jana alikubali,chakushangaza baadae aliingia mitini
Majuzi kaja tena kwa kasi mie nshaondoa fikra ila anaomba sana nimwelewe
Hawa huyu sijui alikua anasumbuliwa na woga au double standards..kwa kweli sielewe kwani hata hivyo alikua mbali sana nami
Je focus yake kweli inaweza kuwa na dhamira ya dhati
Akina hawa tupeane ushauri pia
Wenu Adam,
Yaonesha una uzoefu na Maharage ya China!
Hapo utambue na Maharage ya Kijerumani nayo yapo !
mmemuona Asprin mitaa hii?
Hunie mi maharage gani?
alikubali/hakubali nini?
Funguza zaidi mm sijakuelewa...umeandika kama shairi.