Togo National Team Shot in Ambush, what's their fate?

Bado nitawalaumu viongozi wa Togo FA kwa kusafiri na magari kwenye ukanda wa vita!!
Nafikiri hapa swali la msingi sio Togo kusafiri kwa magari, ila ni kwa nini waandaaji wa mashindano wameweka mji/jimbo wa Cabinda kama one of the venue huku wakijua fika kwamba huko kwenye vita??!! Why?! I don't get it?!
 

...hapana kaka,

mimi hapa namlaumu/nawalaumu uongozi wa msafara wa hiyo timu ya Togo. Kama walishauriwa kusafiri kwa ndege, wao ilikuwaje wakaona bora wasafiri kwa Coach? au ndio yale yale masharti ya 'masangoma?'

Togo are the only team to have traveled into Cabinda by road. This fact has moved CAF to question the Sparrow Hawks.
"CAF's regulations are clear, teams are required to fly rather than travel by bus," -Souleymane Habuba, CAF's Communications director
 
Hili lilikuwa ni jaribio la kigaidi kuionyesha dunia na kuidhalilisha serikali ya Angola, nashindwa kuona kwa nini Western media waunganishe hili tukio na Kombe la dunia SA, Haya ni mashindano ya kombe la Africa tofauti kabisa na World cup, kimaandalizi, ulinzi na kila kitu. South Africa hakuna terrorism kwa sasa na huu mgogoro wa Cabinda upo Angola na sio SA, naamini iwapo kama kutakuwa na Euro cup Ireland Republic mfano 2016 na kukatokezea shambulio kama hili huko Northern Ireland toka kwa IRA tungeambiwa hii sio sababu ya kufanya World cup in England yasifanyike 2018. Hawa wazungu wana double standard na ikitokezea jambo baya limetokea nchi moja ya Africa inahukumiwa Afrika yote wakati kama ikitokezea kitu kibaya kwenye nchi ya ulaya hutajwa ile nchi husika tu.
 
Nafikiri hapa swali la msingi sio Togo kusafiri kwa magari, ila ni kwa nini waandaaji wa mashindano wameweka mji/jimbo wa Cabinda kama one of the venue huku wakijua fika kwamba huko kwenye vita??!! Why?! I don't get it?!

...inasemekana Cabinda kwenyewe ni shwari na amani tele, ila hawa waasi wa FLEC hufanya sporadic attacks kisha wanakimbilia/wanarudi DRC...

Inanikumbusha kina Gen Nkunda na FDLR yake.
 
CAF wana plan B baada ya Togo kuitwa nyumbani? Nchi gani ni alternate? Au sisi tunafanya mambo kiarabu zaidi?
 
...hapana kaka,

mimi hapa namlaumu/nawalaumu uongozi wa msafara wa hiyo timu ya Togo. Kama walishauriwa kusafiri kwa ndege, wao ilikuwaje wakaona bora wasafiri kwa Coach? au ndio yale yale masharti ya 'masangoma?'

Mkuu mimi nazungumzia hali ya usalama kwa ujumla wakati wa mashindano haya, CAF na serikali ya Angola walifanya assessment yoyote na kama walifanya walihakikisha vipi timu zinafuata ushauri?

CAF wana plan B baada ya Togo kuitwa nyumbani? Nchi gani ni alternate? Au sisi tunafanya mambo kiarabu zaidi?

Itabidi wachukue mshindi wa pili kwenye kundi la Togo, unakumbuka Euro 92 (Denmark waliitwa baada ya Yugoslavia kujitoa kwa sababu ya vita).
 
...bado yu hai jamani,

"He is conscious and in a stable condition," hilo ndilo la kumshukuru Mw'Mungu.

...mwenyezi Mungu ampe nafuu na umri mrefu zaidi.

Mkuu hadi sasa bado kipa anaonekana is dead, that is according to local news za togo kwani alipelekwa south africa for treatment.... tumuombee iwe ni kweli bado hajafa na mungu ampe maisha marefu tuweze kupata halisia ya horses mouth

Mashindano yameshatumbukiwa nyongo
 
so so sad bwana mdogo wa watu kafa kwenye vita ya wengine!!

...bado yu hai jamani,

"He is conscious and in a stable condition," hilo ndilo la kumshukuru Mw'Mungu.

...mwenyezi Mungu ampe nafuu na umri mrefu zaidi.


Inasikitisha na kuhuzunisha kwaukweli, Siasa za Cabinda zinawahusu nini wachezaji wa Togo? maugomvi yao kwa nini wawauwe watu wengine wasio na hatia wala interest yoyote ile na migogoro yao? Timu ya Togo wana kila haki ya kujiondoa kwenye haya mashindano, na wala sitashangaa timu za ulaya kuwarudisha wachezaji wao, haya mashindano yameshaingia dosari.
 
African Cup of Nations - Emmanuel Adebayor's Togo quit African Cup of Nations

Togo's players including Emmanuel Adebayor will return home after the country's government announced they have pulled out of the African Cup of Nations following a deadly attack on the team bus in Angola.

"The Togolese government has decided to call back the team. We could not continue the African Nations Cup in this dramatic situation," said territorial administration minister Pascal Bodjona.

"This was necessary because our players are in a state of shock and because we do not think the security which should have been placed around our players is giving the necessary guarantees," he added.
The announcement came shortly after an Angolan government source said Togo's team had agreed to take part.
However such an outcome was rendered impossible by the refusal of the players to remain in Angola after coming under sustained gunfire for 30 minutes in the Cabinda province.
Earlier on Saturday, Manchester City said that Adebayor "is on his way back from Angola".
"The lines of communication between the club and Emmanuel have been open all day, we have spoken to his advisers and his girlfriend and he is coming home," City spokesman Simon Heggie said.
Aston Villa midfielder Moustapha Salifou described the attack in graphic detail on Aston Villa's website.
"To be honest, I can't sum up how I feel at this moment. My parents keep calling me from Togo every 30 minutes just to make sure I am okay and to see how things are going here," he said.
"But we have made our decision as players. We can't play in these circumstances and we want to leave for home today."
Salifou said gunmen had opened fire on the bus 15 minutes after it crossed into Angola from Congo.
"The driver of the coach was shot almost immediately and died instantly, so we were just stopped on the road with nowhere to go.
"Our security people saved us. They were in two separate cars, about 10 of them in total and they returned fire. "The shooting lasted for half an hour and I could hear the bullets whistling past me. It was like a movie.
"I know I am really lucky. I was in the back of the coach with Emmanuel Adebayor and one of the goalkeepers. A defender who was sat in front of me took two shots in the back.
"The goalkeeper, Obilale Dodo, one of my best friends, was shot in the chest and stomach area and he has been flown to South Africa to undergo an operation to save his life.
"It was horrific. Everybody was crying. I couldn't stay in control myself and I cried when I saw the injuries to my friend.
"I don't know how anyone could do this. We were looking forward to playing football and to being together as a team. None of us can play football now."



Some comments on the tragedy:










http://uk.eurosport.yahoo.com/09012...l-adebayor-togo-quit-african-cup-nations.html
 
Togo National Team will go on with AFCON competition

http://www.google.com/hostednews/afp/article/ALeqM5h61_6xea_b9P95jwY9Ht65d5tveQ
 
Togo will go on in AFCON contrary to ealier reports of withdrawal

 
Nafikiri wamegundua kuwa mashindano haya yana potential ya kuwa expose zaidi kwenye club kubwakubwa kuliko kuchukua kikombe. Nafikiri ni uamuzi mzuri kwa faida ya wale wanaochezea local teams ili waweze kuonesha vipaji vyao duniani
 
Na tuwapongeze Togo kwa kuamua ku-support ACN, its the heroes attitude to complete the job that they have started
 
Kama vitani vile.no retreat no surrender Togo pambana pambana kama zambia vile!
 
jee hawa waliofanya haya si waichilamu kwa chuki zako?????

Unadandia hoja usioijua kichwakichwa na matokeo yake ni kuwa kituko. Endelea kutuletea burdani, maana watu wanakushangaa wewe wa wapi?? lolz
 
Kama kweli Togo itashiriki kwenye CAF,itakuwa ni vizuri sana.Nimesikiliza coverage ya Sky news na BBC ,wazungu hawa wanataka kila siku tusifanikiwe kabisa!Adebayo ni sell out ,media imtumia sana,na kumwonyesha mara kadhaa akilia!Adebayo ni greed,nafikiri alitaka arudi Manchester city,maana kuna new manager,Manchini.

western media imekuwa negative sana Angola kuandaa CAF ,hasa wakiona Wachina wamejenga top class stadia!sasa hii shooting walitaka kuihusisha na FIFA 2010 South africa!What a shame!

Kuna mamanager wa premier league Uk,wao wangependa hata wachezaji wasiende huko kabisa.Na wangependa hata CAF wacheze juni badala ya januari!Huu ni ukoloni ambao CAF wasikubali kabisa.CAF ni ya zamani kuliko hata Premier League ya UK,lazima waheshimu hilo.

Africa cup of nations jamani ni utamu wetu wa waafrika!Maana kama tusipofanikisha shindano hili ,litakuwa na negative kubwa sana mbeleni.
 
They real desides like man, it was hard their spirit will be so high .as they went to world cup once they may get this cup
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…