Tofauti ya mtu anayehama CCM kwenda CHADEMA na anayehama CHADEMA kwenda CCM

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,735
CHADEMA kwenda CCM
Anatukana na kuwasema vibaya viongozi wake, atatoa siri zozote anazozijua na uozo wowote ulio mbele ya macho yake dhidi ya chama anachotoka...
Kwangu mimi huu ni udhaifu maana ujasiri ni kusema hayo ukiwa hukohuko....

CCM kwenda CHADEMA
Hawa huwa waangalifu sana, wataisema ccm kama chama lkn huwezi kupata hata moja la kuitikisa ccm, viongozi wake, siri za ccm, madhaifu yao huwezi kuyasikia....
Mfano angalia siku Shibuda, lowasa, sumaye, makongoro etc wanahama...
Kwangu mimi hii ni ishara ya ukomavu kisiasa.
 
CHADEMA kwenda CCM
Anatukana na kuwasema vibaya viongozi wake, atatoa siri zozote anazozijua na uozo wowote ulio mbele ya macho yake dhidi ya chama anachotaka...
Kwangu mimi huu ni udhaifu maana ujasiri ni kusema hayo ukiwa hukohuko....

CCM kwenda CHADEMA
Hawa huwa waangalifu sana, wataisema ccm kama chama lkn huwezi kupata hata moja la kuitikisa ccm, viongozi wake, siri za ccm, madhaifu yao huwezi kuyasikia....
Mfano angalia siku Shibuda, lowasa, sumaye, makongoro etc wanahama...
Swali Kuhusu Kulamba Matapishi: Kwanini Iwe ni Kinyaa Wakati ...
P.
 
utaanzaje kumsema vibaya mbowe wakati bado upo kwake? ukifanya hivyo chopa zitarushwa angani Nchi nzima kukuita wewe msaliti hatimaye utatoka kwa aibu
 
CHADEMA kwenda CCM
Anatukana na kuwasema vibaya viongozi wake, atatoa siri zozote anazozijua na uozo wowote ulio mbele ya macho yake dhidi ya chama anachotoka...
Kwangu mimi huu ni udhaifu maana ujasiri ni kusema hayo ukiwa hukohuko....



CCM kwenda CHADEMA
Hawa huwa waangalifu sana, wataisema ccm kama chama lkn huwezi kupata hata moja la kuitikisa ccm, viongozi wake, siri za ccm, madhaifu yao huwezi kuyasikia....
Mfano angalia siku Shibuda, lowasa, sumaye, makongoro etc wanahama...
Kwangu mimi hii ni ishara ya ukomavu kisiasa.
Chadema ukiikosoa ukiwa humo unaitwa msaliti
 
CHADEMA kwenda CCM
Anatukana na kuwasema vibaya viongozi wake, atatoa siri zozote anazozijua na uozo wowote ulio mbele ya macho yake dhidi ya chama anachotoka...
Kwangu mimi huu ni udhaifu maana ujasiri ni kusema hayo ukiwa hukohuko....



CCM kwenda CHADEMA
Hawa huwa waangalifu sana, wataisema ccm kama chama lkn huwezi kupata hata moja la kuitikisa ccm, viongozi wake, siri za ccm, madhaifu yao huwezi kuyasikia....
Mfano angalia siku Shibuda, lowasa, sumaye, makongoro etc wanahama...
Kwangu mimi hii ni ishara ya ukomavu kisiasa.

Ni kweli kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom