Tofauti ya masikio yao.

marcus rojo

JF-Expert Member
Mar 19, 2017
1,496
5,317
980d10028260b5ea2728de54bb6f43fd.jpg
f5c68428e9f91f40431fd58d6a7dbf3d.jpg
65c8d05ffbf3b27dcf75cb3ef6de14ed.jpg
5ab4ea1eab4b8c6568441b0b7016486d.jpg

Angalia masikio yao, ukubwa wake then angalia na hizi picha hapa chini
c0e917e4df718c4fd3f4d7d2ce80ce64.jpg
44acf5c9c68c14b89cd62d88f148c3d8.jpg
2486c87cc06b232e0e60728280d2c8c0.jpg

Nauliza sababu ni genetics? Na je kuna tofauti yeyote katika hearing ability??
Nawasilisha!
 
Ukiwaangalia vizuri wazungu utagundua kuwa pua zao, masikio yao, macho yao ni makubwa ili waweze kuona, kusikia na kunusa vizuri, ndiyo maana wengi wao wametuzidi sana akili
Ha ha haaaaaaa mkuu nimecheka sana lol

Ila msema kweli mpenzi wa Mungu
Jakaya mzuri aiseee
Libarikiwe tumbo lililo mzaa
 
Ukiwaangalia vizuri wazungu utagundua kuwa pua zao, masikio yao, macho yao ni makubwa ili waweze kuona, kusikia na kunusa vizuri, ndiyo maana wengi wao wametuzidi sana akili
True, lakini mbona wachina ni tofauti? Kweli wazungu wengi wana pua, macho maskio makubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom