enock yusto
JF-Expert Member
- May 28, 2014
- 377
- 342
naombeni kujuzwa kwa anayefaham tofauti kati ya ordinary diploma na advanced diploma make hiv v2 wiwili vnanchanganya cjuh tofaut yake!
Ordinary diploma ni 2years program study to qualify degree. Advanced diploma ni 3 years program to qualfy masters program/ post graduate i.e termed as equivalent to degree. Ila vigezo na masharti kuzingatiwa kuwa qualified to the master stdz ima uwe advanced diploma au degree holder. Kwahiyo in Tanzania ordinary diploma ni tofauti na advanced diploma bt termed as equivqlent to degree, ndiomaana ilishafutwa na serikali tangu 2008/2009. Na hao ma graduate kazini wanafanana mishahara, position n.k
Higher diploma ni tofauti na advanced diploma kaka, advanced diploma anasoma miaka mitatu na equivalent to degree , lakin higher diploma ni NTA level 7 ambayo MTU akiwa anasoma degree akaamua kusitisha masomo akiwa mwaka wapili ameumaliza vizuri ndo anapewa HIGHER DIPLOMA UNITS ZAKE 346 ZINAKOSA KIDOGO KAMA UNIT 48 KUTIMIA ZA DEGREE , ila higher diploma iko chini ya advanced diploma na iko juu ya ordinary diploma kwa system ya tzadvance diploma unasoma mwaka mmoja tyu kusoma degree
na diploma unasomea degree kwa miaka mi3
Advance Diploma sometymz iz called a HIGHER DIPLOMER
nawasilishaaaa
BY Lewanga Jr
naombeni kujuzwa kwa anayefaham tofauti kati ya ordinary diploma na advanced diploma make hiv v2 wiwili vnanchanganya cjuh tofaut yake!
Advance diploma ya kitu gani inayosomwa miaka mitatuHigher diploma ni tofauti na advanced diploma kaka, advanced diploma anasoma miaka mitatu na equivalent to degree , lakin higher diploma ni NTA level 7 ambayo MTU akiwa anasoma degree akaamua kusitisha masomo akiwa mwaka wapili ameumaliza vizuri ndo anapewa HIGHER DIPLOMA UNITS ZAKE 346 ZINAKOSA KIDOGO KAMA UNIT 48 KUTIMIA ZA DEGREE , ila higher diploma iko chini ya advanced diploma na iko juu ya ordinary diploma kwa system ya tz
Akitokea 4M4 anasoma ordinary diploma miaka 3 na sio miwili.Kwahyo mtu anaweza apply chuo akitoka form four moja kwa moja na akasajiliwa na ordinary diploma na akasoma miaka 2 ??
Advanced diploma sio sawa na higher diploma hata kidogo,ila ni kweli kuwa zote ziko nacte.advanced diploma kwa sasa haipo ilikuwa ikitolewa na vyuo vya Kati kama DIT,IFM,IDM etc.advanced diploma was equivalent to bachelor degree.by that time FTC was equivalent to diploma.wanafunz wakagoma wakidemand to be awarded degree kama wale wenzao.kwa hiyo mpaka sasa tz hatutoi advanced diploma.hiyo higher diploma ni intermediate level towards bachelor,it is NTA 7 .ordinary diploma na advanced/higher diploma zote ni ngazi za elimu katika katika mfumo wa nacte ambapo nacte wao wanatumia NTA levels (national technical awards) ambapo ordinary diploma ni NTA level 6 (2 years) na advanced/higher diploma ni NTA level 7 (2 years) sasa ili mtu mwenye advanced/higher diploma awe equivalent na degree holder anasoma NTA level 8 (1 year)
FactAdvanced diploma sio sawa na higher diploma hata kidogo,ila ni kweli kuwa zote ziko nacte.advanced diploma kwa sasa haipo ilikuwa ikitolewa na vyuo vya Kati kama DIT,IFM,IDM etc.advanced diploma was equivalent to bachelor degree.by that time FTC was equivalent to diploma.wanafunz wakagoma wakidemand to be awarded degree kama wale wenzao.kwa hiyo mpaka sasa tz hatutoi advanced diploma.hiyo higher diploma ni intermediate level towards bachelor,it is NTA 7 .
Ulipitia Open University una apply Ordinary Diploma na unasoma mwaka mmoja tu!Kwahyo mtu anaweza apply chuo akitoka form four moja kwa moja na akasajiliwa na ordinary diploma na akasoma miaka 2 ??