kwanza nianze kwa kuweka sawa hili:-
neno Tobo kama lilivyo halina maana yoyote na si neno sahihi la kiswahili( tunaweza kuliweka katika common mistake in swahili).
kuna Toboa= kitendo kuna Tundu= matokeo ya toboa
kama unakubaliana nami kwa maelezo yangu ya awali basi ni makosa kusema:- toboa tobo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.