Lihove2017
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 423
- 560
Inaleta mantiki pale unapoharibu miundombinu.labda huyo alioverspeed na kuoverloadAcheni uzushi mbweha nyie. Mimi baada ya kuona hapa, nimeenda kukanyaga mpaka 120 nikapigishwa faini ya 30,000 nikawauliza mbona wamechaji kosa moja tu, wakaniambie niachane na habari za vijiweni kwani hakuna faini ya aina hiyo duniani. Ukiharibu au kutishia kuharibu miundo mbinu ya barabara hapo ndiyo hukunyuka TANROADS faini