Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,291
Siku hizi watu wanpenda kuzikwa kifahari sana na Kinondoni kumejaa fungua graveyards weka mazingira safi barabara nk. Ila usije ukawa wa kwanza kuzikwaMwana JF,
Atakae toa wazo bora la biashara halali katika jiji la dar na wana jf walio wengi wakaridhia na liwe na mtaji wa three million kwa mara ya kwanza nitatoa zawadi ya pesa tasilimu ambazo nitazikazibidhi kwa mkuu invisble kabla ya kutangaza mshindi.
Tumpate mshindi kabla ya 10/1/2016