NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 1,001
Wananchi wameamua pakubwa sana ,wakaona wafanye juu chini waongeze nguvu ya maombi na upako mjengoni maana kusutana na vijembe viitawala sana Bunge lilopita.
Watanzania walimtegemea na Mch Msigwa naye akawa bize kujenga chama akasahau kiliombea Mbunge, wananchi wakaona walifanya makosa makubwa pale ni sehemu ya Heshima sana, ngoja tutoe Msigwa tulete Asikofu Gwajima boy, hapo sasa ngoma inogile.
Watanzania walimtegemea na Mch Msigwa naye akawa bize kujenga chama akasahau kiliombea Mbunge, wananchi wakaona walifanya makosa makubwa pale ni sehemu ya Heshima sana, ngoja tutoe Msigwa tulete Asikofu Gwajima boy, hapo sasa ngoma inogile.