To third eye;msaada

Khalifab

Member
Jul 6, 2012
38
2
hali yako...

Brother kuna inshu nilikuomba unisaidie kama ifuatavyo.
1.nini maana ya link
2.Ni vip naweza kuitumia coz naona watu wana2miana link mara link ya muvie ili a download muvie au software
3.Nilisoma maeleze yako kuhusu matumizi ya U torrent na Bit torrent,zote nimefanikiwa kudownload kwa mssada wako
na icon zake zimefunguka vizuri,,sasa inshu inakuja wapi..

1. Nashindwa ku2mia nafkiri kwa sababu sijui nini maana ya link,na inapatikana vipi na naiweka vip ndani ya U torrent au Bit torrent.naomba msaa wako kwa kunitumia maelekezo katika email yangu khalifab@rocketmail.com...nitafrai sana coz napenda kujua mkaka,,,,
 
hali yako...

Brother kuna inshu nilikuomba unisaidie kama ifuatavyo.
1.nini maana ya link
2.Ni vip naweza kuitumia coz naona watu wana2miana link mara link ya muvie ili a download muvie au software
3.Nilisoma maeleze yako kuhusu matumizi ya U torrent na Bit torrent,zote nimefanikiwa kudownload kwa mssada wako
na icon zake zimefunguka vizuri,,sasa inshu inakuja wapi..

1. Nashindwa ku2mia nafkiri kwa sababu sijui nini maana ya link,na inapatikana vipi na naiweka vip ndani ya U torrent au Bit torrent.naomba msaa wako kwa kunitumia maelekezo katika email yangu khalifab@rocketmail.com...nitafrai sana coz napenda kujua mkaka,,,,

Unaonaje uki mPM kuliko kujaza jukwaa
 
Back
Top Bottom