SODIUM CYANIDE
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 691
- 1,164
Umetumwa na mabeberu kuchafua serikali mkuu.
na kweli, Mwendazake yuko kwa mabeberu wanakula biaUmetumwa na mabeberu kuchafua serikali mkuu.
Duh akili za kubet hizi, Forecast is a calculation or estimate of future events, especially coming weather or a financial trend.Acha ujinga na wewe Utabiri kwa kingereza ni Kubet.Unaeza kubet ikawa kweli ama si kweli.
Ni kweli kabisa, maoni yangu ni bora hiyo TMA ifutwe aajiriwe binti mmoja tu aliemaliza form 4 English medium awe anawatafsiria TBC kutoka vyombo vya habari vya nje.Wangejitahidi hata ku copy basi huko BBC na CNN.
Yani kujua hujui na hata ku copy unashindwa?
Kwa wiki kama mbili nyuma sasa, TMA walitoa utabiri kuwa kutakuwa na mvua kubwa mikoa ya ukanda wa pwani ya Tanzania. Haikutokea mpaka leo hii hakuna mvua. Jana nikaangalia BBC/CNN weather wakasema coast of Tanzania with a mentin of DSM kutakuwa na mvua. Kweli sasa hivi niadikapo mvua kubwa inanyesha. TMA mama Kijazi mnakosea wap? Kuna siku ulisema utabiri wenu Mwendazake kauboresha kwa kuwanunulia vifaa bora na predictability yenu ni over 96% wakati si kweli! Weledi wenu ukoje?