TMA vs BBC/CNN weather forecast: Mama Kijazi mnakosea wapi?

Acha ujinga na wewe Utabiri kwa kingereza ni Kubet.Unaeza kubet ikawa kweli ama si kweli.
Duh akili za kubet hizi, Forecast is a calculation or estimate of future events, especially coming weather or a financial trend.
 
Wangejitahidi hata ku copy basi huko BBC na CNN.

Yani kujua hujui na hata ku copy unashindwa?
Ni kweli kabisa, maoni yangu ni bora hiyo TMA ifutwe aajiriwe binti mmoja tu aliemaliza form 4 English medium awe anawatafsiria TBC kutoka vyombo vya habari vya nje.
 
Weather app kwenye sim yangu ya android nina iamini kuliko taarifa za TMA
 
Kwa wiki kama mbili nyuma sasa, TMA walitoa utabiri kuwa kutakuwa na mvua kubwa mikoa ya ukanda wa pwani ya Tanzania. Haikutokea mpaka leo hii hakuna mvua. Jana nikaangalia BBC/CNN weather wakasema coast of Tanzania with a mentin of DSM kutakuwa na mvua. Kweli sasa hivi niadikapo mvua kubwa inanyesha. TMA mama Kijazi mnakosea wap? Kuna siku ulisema utabiri wenu Mwendazake kauboresha kwa kuwanunulia vifaa bora na predictability yenu ni over 96% wakati si kweli! Weledi wenu ukoje?
 
Hao jamaa TMA waliwahi kutabiri mvua kubwa itanyesha hadi jamaa akaahirisha kwenda kutoa mahali kama kesho jua lakawaka mchana kutwa, sio wa kuamini hao
 
Back
Top Bottom