TMA: Mvua Dar zimefika ukingoni

SOGHOO

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
1,268
Reaction score
568
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua zilizoanza kunyesha Machi hadi Mei, mwaka huu na kusababisha athari mbalimbali, ikiwamo vifo, upotevu wa makazi na uharibifu wa miundombinu katika Jiji la Dar es Salaam zimefikia ukingoni.

=================================

Chanzo: Nipashe
 
Wa mabondeni tuendelee kuzaana kama kawa
 
Hawa walisema mpaka tar 21 sasa imekuwaje? Utabir wao kama unamashaka hv!
 
Wa Jangwani ngoja turejee makwetu kwa raha zetu...

Tuliteseka kwa mamvua nanyi tesekeni mwa mifoleni sasa

Kutesa kwa zamu.
 
WAondoe jengo la DART Jangwani ndio na sisi tuige mfano wa kuondoka mabondeni
 
Hawa watu wakiona jua linawaka watasema mvua imeisha lakini ghafla mvua ikija kwa kasi na kuleta athari hapohapo hubadilika na kutoa maonyo!nilishaga toa mada/Topic miezi 2 ilopita hapa jf kuhusu hawa watabiri wetu na hii style yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…