RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,835
Dar kubwa bwashee!Kufuatia utabiri wa TMA kwamba itanyesha mvua kubwa watu wamehama maeneo yenye kutuama maji na kwenda kujihifadhi kwa ndugu na jamaa
Kumbe hakuna lolote ni Jua kali
Mungu anawaona nyie TMA mjue!