Wanacheza rafu kupotezea yaliyotokea Kisutu,kwa spidi hii TRA wanaenda kuzidiwa na mahakama kwa makusanyo endapo kesi za uchochezi zikiamuliwa kila kosa 10M.Hii ni vema ikaunganishwa na uzi mwingine nilioweka hapa kitambo .
Halafu utambue kwamba Magufuli si mgombea urais wa ccm , hajapitishwa na kikao chochote cha ccm , na kuna tetesi kwamba hatopitishwa na ccm
Kwa kuwa mgombea wao anatoka ccm? Akili nyingine afadhali na za kukuTLP ndicho chama cha siasa! Vingine ni mapandikizi ya mabeberu!
Ile itqaf aliyosomewa mwembechai wakati uleee ndiyo sasa imechanganyaTLP KUUNGANA NA CCM
Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.
Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.
Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.
Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.
Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.
Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.
UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki
Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
Acha hizo...kwani kina katiba kama ya chama kipi?TLP ndicho chama cha siasa! Vingine ni mapandikizi ya mabeberu!
Huyu mdingi ana laana inayotokana na ile dua aliyosomewa mwembechai wakati uleee.Huyu mzee badala uzee wake amrudie mungu bado tu anang'ang'ania tu siasa,Ila nao hao viongozi wa Ccm ambao leo hii wanawabana wenzao wakumbuke na wao iyo hali aliyokuwa nayo Mrema itakuja kuwapata tu
Hope hawa wa TLP wako on the "right truck" . Wahenga walisema hivi " If you can't fight him, join him"TLP KUUNGANA NA CCM
Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.
Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.
Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.
Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.
Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.
Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.
UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki
Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
TLP KUUNGANA NA CCM
Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.
Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.
Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.
Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.
Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.
Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.
UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki
Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
TLP KUUNGANA NA CCM
Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.
Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.
Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.
Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.
Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.
Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.
UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki
Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
Wanajuaje kwamna CCM watamteua Magufuli kugombea? Maigizo mengine bwana!TLP KUUNGANA NA CCM
Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.
Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.
Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.
Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.
Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.
Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.
UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki
Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
Akili sijui umeziweka wapi kama ni chama cha siasa ,unajua lengo kuu la chama cha siasa?
Sent using Jamii Forums mobile app