Timuatimua ya Rais Inaondoa Ufanisi.

Toosweet

JF-Expert Member
May 27, 2012
2,141
1,982
Heshima kwenu Wanabodi,
Mpaka sasa ni takriban miezi 19 toka Mh. Rais aanze kusimamisha na kufukuza viongozi waandamizi wa serikali na wanasiasa. Makada wa CCM wamekuwa wakidai kuwa Mh. Rais anasafisha nchi kwa kuwa ni mzalendo.
Hawa ni baadhi ya waliofutwa;
Machi 6,2016 Katibu Mkuu Kiongozi balozi Segue aliyimbuliwa.
Machi 13,2016 aliteuwa wakuu wa mikoa 26 na kutimua 13
Aprili 26,2016 alisimamisha Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Dr. Ali Simba kwa kudaiwa kutosimamia vema utekelezaji wa mkataba wa mawasiliano na kusababisha nchi kupoteza Tsh 400 bilioni kwa mwaka.
Aprili 26,2016 Rais alitimua makatibu tawala wa mikoa 10 na kuingiza wapya wawili, kwa jumla aliteua 26.
Julai 7,2016 Rais aliweka pembeni wakurugenzi 120.Aliteua wakurugenzi wa halmashauri za majiji watano(5),manispaa 21,majiji 22,na wilaya 137.
Desemba 30,2016 alitema makatibu wakuu watano na kuingiza wapya.
Wengine waliosombwa na panga la Rais Magufuli ni aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga, Edward Hosea aliyekuwa Mkurugenzi TAKUKURU, Anne Kilango, Mkurugenzi wa TANESCO Felchesmi Mramba. Wengine ni aliyekuwa Mkurugenzi wa NIMRI Dr. Mwele Malecela, aliyekuwa Waziri wa Habari na mbunge wa Mtama Nape Nnauye, Diwani Athumani aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi Makosa ya Jinai, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo na hivi karibuni aliyekuwa IGP,Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini kamanda Ernest Mangu.
Hawa ni sehemu tu ya waliosimishwa, teuzi zao kubatilishwa au kuambiwa watapangiwa kazi nyingine. Kusimamisha au kubadili viongozi Mara kwa Mara kunaondoa ufanisi. Watendaji huingia hofu ya kuondolewa kwenye nafasi, huchelea kuanzisha mipango au miradi mipya. Kuleta kiongozi mpya kabla ya yule wa awali kuzoea mazingira na kufahamu wafanyakazi watakaomsaidia kazi, hifanya ofisi, taasisi, wizara kushindwa kufikia malengo.
Nawasilisha.
 
Awali ulisema Viongozi Mizigo sasa JPM ameanzisha taratibu nzuri ya kushusha hiyo mizigo isiyofaa unadai ufanisi unakosekana ? Kama hauridhiki na hatua anazochukua JPM nakushauri usubiri hadi 2025 na wewe ukachukue fomu ya Urais ugombee ili uanzishe utaratibu wako.

JPM namuunga mkono aendelee kutumbua hiyo mizoga inayochafua hali ya hewa ya awamu ya tano. Kuendesha Serikali siyo lelemama kama unavyofikiria wewe na mapungama wenzako.
 
Trueth comes from pain.This is true.

Wazulu wanasema "Ukuhamba ukubona", yaani "Kutembea ni kuona".Pia sisi waswahili tunasema "Tembea uone".Kutembea macho na masikio yakiwa wazi ni moja ya tunu kubwa sana maumbile yamempa binadamu.

Namshauri Raisi atembee katika Maandiko Matakatifu/Tukufu, Biographies za viongozi mbalimbali pamoja na vitabu vya kiuongozi kama The prince cha Machieveli nk then atapata mengi sana, na kujifunza mambo lukuki.

Pia aombe Busara na Hekima kwa Mungu kwa jambo lolote lile kabla hajalifanya.Baada ya hapo haya makosa madogo madogo hayatokuwepo tena.
 
Awali ulisema Viongozi Mizigo sasa JPM ameanzisha taratibu nzuri ya kushusha hiyo mizigo isiyofaa unadai ufanisi unakosekana ? Kama hauridhiki na hatua anazochukua JPM nakushauri usubiri hadi 2025 na wewe ukachukue fomu ya Urais ugombee ili uanzishe utaratibu wako.

JPM namuunga mkono aendelee kutumbua hiyo mizoga inayochafua hali ya hewa ya awamu ya tano. Kuendesha Serikali siyo lelemama kama unavyofikiria wewe na mapungama wenzako.
Mkuu nilidhani una akili timamu kumbe zu...
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Heshima kwenu Wanabodi,
Mpaka sasa ni takriban miezi 19 toka Mh. Rais aanze kusimamisha na kufukuza viongozi waandamizi wa serikali na wanasiasa. Makada wa CCM wamekuwa wakidai kuwa Mh. Rais anasafisha nchi kwa kuwa ni mzalendo.
Hawa ni baadhi ya waliofutwa;
Machi 6,2016 Katibu Mkuu Kiongozi balozi Segue aliyimbuliwa.
Machi 13,2016 aliteuwa wakuu wa mikoa 26 na kutimua 13
Aprili 26,2016 alisimamisha Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Dr. Ali Simba kwa kudaiwa kutosimamia vema utekelezaji wa mkataba wa mawasiliano na kusababisha nchi kupoteza Tsh 400 bilioni kwa mwaka.
Aprili 26,2016 Rais alitimua makatibu tawala wa mikoa 10 na kuingiza wapya wawili, kwa jumla aliteua 26.
Julai 7,2016 Rais aliweka pembeni wakurugenzi 120.Aliteua wakurugenzi wa halmashauri za majiji watano(5),manispaa 21,majiji 22,na wilaya 137.
Desemba 30,2016 alitema makatibu wakuu watano na kuingiza wapya.
Wengine waliosombwa na panga la Rais Magufuli ni aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga, Edward Hosea aliyekuwa Mkurugenzi TAKUKURU, Anne Kilango, Mkurugenzi wa TANESCO Felchesmi Mramba. Wengine ni aliyekuwa Mkurugenzi wa NIMRI Dr. Mwele Malecela, aliyekuwa Waziri wa Habari na mbunge wa Mtama Nape Nnauye, Diwani Athumani aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi Makosa ya Jinai, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo na hivi karibuni aliyekuwa IGP,Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini kamanda Ernest Mangu.
Hawa ni sehemu tu ya waliosimishwa, teuzi zao kubatilishwa au kuambiwa watapangiwa kazi nyingine. Kusimamisha au kubadili viongozi Mara kwa Mara kunaondoa ufanisi. Watendaji huingia hofu ya kuondolewa kwenye nafasi, huchelea kuanzisha mipango au miradi mipya. Kuleta kiongozi mpya kabla ya yule wa awali kuzoea mazingira na kufahamu wafanyakazi watakaomsaidia kazi, hifanya ofisi, taasisi, wizara kushindwa kufikia malengo.
Nawasilisha.
Umezaliwa lini wewe? Ni mawaziri wangapi walifukuzwa kwenye hiyo wizara ya madini toka awamu ya tatu hadi sasa ikaleta ufanisi kama unavyodai? Unaifahamu wizara ya madini ilivyo wewe? Hiyo post is nonsense !!
 
Umezaliwa lini wewe? Ni mawaziri wangapi walifukuzwa kwenye hiyo wizara ya madini toka awamu ya tatu hadi sasa ikaleta ufanisi kama unavyodai? Unaifahamu wizara ya madini ilivyo wewe? Hiyo post is nonsense !!
Pole sana.
 
Heshima kwenu Wanabodi,
Mpaka sasa ni takriban miezi 19 toka Mh. Rais aanze kusimamisha na kufukuza viongozi waandamizi wa serikali na wanasiasa. Makada wa CCM wamekuwa wakidai kuwa Mh. Rais anasafisha nchi kwa kuwa ni mzalendo.
Hawa ni baadhi ya waliofutwa;
Machi 6,2016 Katibu Mkuu Kiongozi balozi Segue aliyimbuliwa.
Machi 13,2016 aliteuwa wakuu wa mikoa 26 na kutimua 13
Aprili 26,2016 alisimamisha Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Dr. Ali Simba kwa kudaiwa kutosimamia vema utekelezaji wa mkataba wa mawasiliano na kusababisha nchi kupoteza Tsh 400 bilioni kwa mwaka.
Aprili 26,2016 Rais alitimua makatibu tawala wa mikoa 10 na kuingiza wapya wawili, kwa jumla aliteua 26.
Julai 7,2016 Rais aliweka pembeni wakurugenzi 120.Aliteua wakurugenzi wa halmashauri za majiji watano(5),manispaa 21,majiji 22,na wilaya 137.
Desemba 30,2016 alitema makatibu wakuu watano na kuingiza wapya.
Wengine waliosombwa na panga la Rais Magufuli ni aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga, Edward Hosea aliyekuwa Mkurugenzi TAKUKURU, Anne Kilango, Mkurugenzi wa TANESCO Felchesmi Mramba. Wengine ni aliyekuwa Mkurugenzi wa NIMRI Dr. Mwele Malecela, aliyekuwa Waziri wa Habari na mbunge wa Mtama Nape Nnauye, Diwani Athumani aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi Makosa ya Jinai, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo na hivi karibuni aliyekuwa IGP,Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini kamanda Ernest Mangu.
Hawa ni sehemu tu ya waliosimishwa, teuzi zao kubatilishwa au kuambiwa watapangiwa kazi nyingine. Kusimamisha au kubadili viongozi Mara kwa Mara kunaondoa ufanisi. Watendaji huingia hofu ya kuondolewa kwenye nafasi, huchelea kuanzisha mipango au miradi mipya. Kuleta kiongozi mpya kabla ya yule wa awali kuzoea mazingira na kufahamu wafanyakazi watakaomsaidia kazi, hifanya ofisi, taasisi, wizara kushindwa kufikia malengo.
Nawasilisha.
Ni kweli watu wanafanyakazi kwa uoga sana ili asikosee hapo ndio kutokujiamini kunaokuja kila kitu mpk mkuu aseme kiende namna gani
 
Acheni mzee wa watu afanye anavyoona inafaa binadamu huwa hatueleweki ukimsikiliza kila mtu unapotea asipowatoa wanaozembea pia mtalalamika hamjui mnachokitaka
 
Anataka mabadiliko ya haraka bila kujua maendeleo ni mchakato wa muda mrefu chini ya mipango na sera anuai na sio mtu mmoja mmoja na anachokifikiria kuwa ndio kigezo cha maendeleo
 
Back
Top Bottom