CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 Sep 21, 2012 #22 Ngoja kwanza nimuwahi wife maana amesema hawezi kulala bila dozi,kisha ntarudi during the midnight ili nipambane na nyiwe wajingawajinga wa mzimbazi!
Ngoja kwanza nimuwahi wife maana amesema hawezi kulala bila dozi,kisha ntarudi during the midnight ili nipambane na nyiwe wajingawajinga wa mzimbazi!
M Masuke JF-Expert Member Feb 28, 2008 4,610 1,264 Sep 21, 2012 #23 Inkoskaz said: inanikumbusha ule wimbo Juma Nature wa Wanaume Family wa Dar mpaka Moro .....tatu bila tatu bila! Duh watu wana maono! Walishaona hili muda mrefu Click to expand... Kweli hao vijana ni manabii.
Inkoskaz said: inanikumbusha ule wimbo Juma Nature wa Wanaume Family wa Dar mpaka Moro .....tatu bila tatu bila! Duh watu wana maono! Walishaona hili muda mrefu Click to expand... Kweli hao vijana ni manabii.
kazikubwa JF-Expert Member Oct 8, 2010 597 145 Sep 21, 2012 #24 Watakao teuliwa wawe mbali na kocha, anavaa hereni na kik.........
The Pen JF-Expert Member Dec 31, 2010 755 256 Sep 21, 2012 #25 Walifikiri magoli yanapatikana ktk makaratasi ya usajili.