Till ya tigopesa inapatikana kwa 150,000

Till ya tigopesa inapatikana kwa 150,000

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,513
Reaction score
8,276
ni line mpya kabisa haijatumika naiuza 150,000 tu.
 
Voda haztolew kimkoa, popote tz zitolewazo kimkoa ni tigo, nipo Tanga, nilikua nakuelewesha tu ktk hilo,
 
Zinatolewa kimkoa na tena zinazingatia wilaya pia though ikiwa mkoa mmoja ni rahisi kubadili wilaya.
Voda haztolew kimkoa, popote tz zitolewazo kimkoa ni tigo, nipo Tanga, nilikua nakuelewesha tu ktk hilo,
 
Voda haipo hivyo! Popote unafanya kazi hapa tz, tigo ndo IPO hivyo, mi nimefanya biashara hii toka 2011 hivyo Sina ugeni kiongoz! Tgo ndo wapo hivyo lakn sio Voda!
 
Labda hyo ishu imeanza hv karbuni, lakn mbona mm zinafanya kaz vzr tu wakati npo mkoa tofauti na niliponunulia? Sina uhakika na hilo usemalo aisee! Nina mawasiliano mengi na managers wa Vodashop lakn hata nikikupa uulize utaambiwa hvohvo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom