Tiketi haziuziki mechi ya Simba

Mimi mwenyewe siendi na naombea tufungwe. Nimekerwa viongozi kugoma kuwajibika, wakaishia kumwajibisha kocha pekee. Wao madudu yao hawayaoni? Jumamosi ndo watatuelewa sisi ni akina nani.
huna akili kwaio timu kufungwa unataka viongozi waondoke ili upewe wewe timu au huna hela kaa nyumban ucheze nashemej yako
 
Kuelekea Simba day tiketi za Platinum ziliisha ndani ya siku moja, wiki moja kabla ya tukio. Simba SC ilitangaza tiketi zote zimeisha siku (2) kabla ya Mchezo.

Kuelekea African Football League tiketi za Platinum ziliisha ndani ya siku moja, wiki moja kabla ya tukio.

Michezo ya mwisho ya Simba :

◎ Simba 2 - 2 Al-Ahly Cairo
◎ Al-Ahly Cairo 1 - 1 Simba
◉ Simba 2 - 1 Ihefu
◎ Simba 1 - 5 Yanga
◉ Simba 1 - 1 Namungo

Zikiwa zimesalia saa kadhaa Kuelekea mchezo dhidi ya ASEC Mimosas mpaka sasa tiketi za Platinum ambazo huwa hazizidi (200) hazijaisha ikiwa tiketi zilianza kuuzwa wiki 1+ iliyopita. Hakuna sold out ya eneo lolote mpaka sasa.

Utaratibu wa Simba SC kuonesha graph ya mauzo ya tiketi awamu hii haupo kwa sababu ni tiketi chache sana zilizouzwa kiasi kwamba uongozi wa Simba kupitia kwa Mo Dewji umeamua kushusha bei ya tiketi za mzunguko ambapo ndipo hukaa mashabiki wengi. (Elfu 40) kutoka Tsh elfu (5) hadi elfu (3).

Bila shaka yoyote, hali ikienda hivi Jumamosi watu wataingia bure (Fungulia mbwa).

𝗜𝗻𝗮𝘁𝘂𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗻𝗶𝗻𝗶?
Hii inatufundisha viongozi, mashabiki na wadau wa soka kuwa, MATOKEO BORA UWANJANI ndio HAMASA kubwa inayoweza kuwaleta Watazamaji uwanjani...

Na sio kitu kingine.

Kutoka mtandao X/TWITTER

Zinakaribia kuisha
 
Kikubwa mshinde ili kurudisha imani ya mashabiki
Heshima mbona ipo pale pale, mimi ni shabiki naishabikia team muda wote. Shabiki anayerudigi nyuma mara nyingi huwa ni malaya tu wa ushabiki, na hao mashabiki wa hivyo wapo wengi sana hapa jf, mtoa mada ni mmoja wao.
 
Mimi nataman wajinga waende uwanjan alafu timu ipigwe mbele yao.
Hatutaki kulia Lia mara fulan kauza mechi Mara wachezaj hawajitumi.mara mangungu out sijui try out.
Watu wasema Sana hii timu inaendeshwa kihun viongoz wapo kimaslah na wanaopaswa kuleta heshima ni mashabik kwa kugomea kwenda uwanjan ,shabik akigoma viongoz watakua na nidhamu kuanzia kisajil ,kulipa posho kwa wachezaj ttena kwa wakati.

Sasa wanafanya upuuz huo na mashabik viande bado wamo tu kuhangaika taifa.
Ivi majumban mwenu hamna tv mkakaa muangalizie makwenu ili viongoz wajitathimin?

Mkikataa kwenda mechi hata mbili tu lazima atajisalimisha tu na kukir upumbavu wao .

Kingoz gan hataki kujiuzuru jua anapambania tumbo lake .
Ajiuzuru amwachie Nani ten percent kwa wachezaj wanaowasajir kwa kuokoteza?
 
huna akili kwaio timu kufungwa unataka viongozi waondoke ili upewe wewe timu au huna hela kaa nyumban ucheze nashemej yako
We kenge wa kijivu, nimesema SIENDI hivyo usinipigie kelele kwa uamuzi wangu mwenyewe. Na hata hao wengine wanaosema HAWAENDI wanasimamia misimamo yao binafsi. Wewe nenda ukakae kwenye jukwaa tupu, seat zipo mpaka za kukalisha chupa zako za soda na maji.
 
Kuelekea Simba day tiketi za Platinum ziliisha ndani ya siku moja, wiki moja kabla ya tukio. Simba SC ilitangaza tiketi zote zimeisha siku (2) kabla ya Mchezo.

Kuelekea African Football League tiketi za Platinum ziliisha ndani ya siku moja, wiki moja kabla ya tukio.

Michezo ya mwisho ya Simba :

◎ Simba 2 - 2 Al-Ahly Cairo
◎ Al-Ahly Cairo 1 - 1 Simba
◉ Simba 2 - 1 Ihefu
◎ Simba 1 - 5 Yanga
◉ Simba 1 - 1 Namungo

Zikiwa zimesalia saa kadhaa Kuelekea mchezo dhidi ya ASEC Mimosas mpaka sasa tiketi za Platinum ambazo huwa hazizidi (200) hazijaisha ikiwa tiketi zilianza kuuzwa wiki 1+ iliyopita. Hakuna sold out ya eneo lolote mpaka sasa.

Utaratibu wa Simba SC kuonesha graph ya mauzo ya tiketi awamu hii haupo kwa sababu ni tiketi chache sana zilizouzwa kiasi kwamba uongozi wa Simba kupitia kwa Mo Dewji umeamua kushusha bei ya tiketi za mzunguko ambapo ndipo hukaa mashabiki wengi. (Elfu 40) kutoka Tsh elfu (5) hadi elfu (3).

Bila shaka yoyote, hali ikienda hivi Jumamosi watu wataingia bure (Fungulia mbwa).

𝗜𝗻𝗮𝘁𝘂𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗻𝗶𝗻𝗶?
Hii inatufundisha viongozi, mashabiki na wadau wa soka kuwa, MATOKEO BORA UWANJANI ndio HAMASA kubwa inayoweza kuwaleta Watazamaji uwanjani...

Na sio kitu kingine.

Kutoka mtandao X/TWITTER
Mbona kama unaumia Sana ,, Wenye Simba yetu hatujasusia timu. Sisi siyo mashabiki maandazi eti tushindwe kusapoti timu Kwa kufungwa na utopolo Tena Kwa ulozi wao. Tunaendelea kununua ticket nenda kwenye vituo kashuhudie acha kupiga ramli za jangwani.
Tumeanza SOLD OUT ya kwanza
Screenshot_20231124-151819.jpg
 
Back
Top Bottom