Kichogo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 1,807
- 2,491
huna akili kwaio timu kufungwa unataka viongozi waondoke ili upewe wewe timu au huna hela kaa nyumban ucheze nashemej yakoMimi mwenyewe siendi na naombea tufungwe. Nimekerwa viongozi kugoma kuwajibika, wakaishia kumwajibisha kocha pekee. Wao madudu yao hawayaoni? Jumamosi ndo watatuelewa sisi ni akina nani.