Tiket ya ndege air tanzania

Tiket ya ndege air tanzania

Under30

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2017
Posts
218
Reaction score
645
Jaman nataka kukata tiket ya ndege nimesikia kuna promotion kutoka aarusha kuja dar
Sasa nimetafuta website yao sipati
Msaada tafadhal
 
Home | Air Tanzania Company Limited

Wanatia aibu.. wajiboreshe asap. Mfano hata patarehe ni janga.. kama tupo enzi za mwanzo.. pa kubukia ni pamelipuliwa hawajui kazi waliopewa... aibu tunamiliki ndege za kashi.. huku mtu kubuku ni kujiletea sitiresi.. si patakimbiwa
Hatimaye leo umeililalamikia shirika la serikali... Yale ya HOYEEE umetupa kule... MDOGO MDOGO TUTAFIKA... Hongera sana kwa kuacha kusifia visivyostahili
 
Home | Air Tanzania Company Limited

Wanatia aibu.. wajiboreshe asap. Mfano hata patarehe ni janga.. kama tupo enzi za mwanzo.. pa kubukia ni pamelipuliwa hawajui kazi waliopewa... aibu tunamiliki ndege za kashi.. huku mtu kubuku ni kujiletea sitiresi.. si patakimbiwa

Naona akili zinaanza kukukaa sawa taratiiiiiibu. Safi kabisa.

Kulibeba jiwe lazma uchoke ni mzigo usiobebeka.
 
Hatimaye leo umeililalamikia shirika la serikali... Yale ya HOYEEE umetupa kule... MDOGO MDOGO TUTAFIKA... Hongera sana kwa kuacha kusifia visivyostahili

Kuna mtu ame hack account yako au ni ww uliye andika haya....

Naona akili zinaanza kukukaa sawa taratiiiiiibu. Safi kabisa.

Kulibeba jiwe lazma uchoke ni mzigo usiobebeka.

Na hii rangi ninayotumia kuwaandikia inawafaa kabisa.

Sasa mmepata mwanya wa kuninukuuu.. jioneni mlivyodakia.. huku hata hiyo website hamjawahi kuitumia kutaka kubuku.. eeeeeh

Yaani mngekuwa mmeshaitumia mumngeweka hayo ya siasa kwenye vitambi vyenu..
 
Website ya Air Tanzania iko poa kuliko mnavofikiria....Coco amewatega na wengi wenu mmeonesha mlivo weupe...watu hamjui na wala hamna ufahamu wowote lakini ndo wa kwanza kuponda...badilikeni aisee
 
Hapa sasa ndio kituko cha karne.. hapo wanategemea mtu awe huko mfano ulaya azipite hizo airlines nyingine.. aende abonyeze kitufe cha CHECK RATES

Hapo ukibonyeza kwanza inachukua muda mrefuuuuu.. baaaada ndio eti website ya air tanzania inafunguka.

Madudu mengi kama haya yapo na yanalipotezea taifa mipesa.. ni watu kukosa ujuzi na kujiongeza... na wengi kutokujua hata viongozi wengine..

Air Tanzania lazima wajipange.. urahisi uwepo kwa watu kutumia na kupata kuwabuku

20180717_055933.png


20180717_060402.png

20180717_060132.png


 
Na hii rangi ninayotumia kuwaandikia inawafaa kabisa.

Sasa mmepata mwanya wa kuninukuuu.. jioneni mlivyodakia.. huku hata hiyo website hamjawahi kuitumia kutaka kubuku.. eeeeeh

Yaani mngekuwa mmeshaitumia mumngeweka hayo ya siasa kwenye vitambi vyenu..

Bahati nzuri sana sina kitambi aisee. Ahsante.
 
Hapa sasa ndio kituko cha karne.. hapo wanategemea mtu awe huko mfano ulaya azipite hizo airlines nyingine.. aende abonyeze kitufe cha CHECK RATES

Hapo ukibonyeza kwanza inachukua muda mrefuuuuu.. baaaada ndio eti website ya air tanzania inafunguka.

Madudu mengi kama haya yapo na yanalipotezea taifa mipesa.. ni watu kukosa ujuzi na kujiongeza... na wengi kutokujua hata viongozi wengine..

Air Tanzania lazima wajipange.. urahisi uwepo kwa watu kutumia na kupata kuwabuku

View attachment 811434

View attachment 811433
View attachment 811435
Ushauri mzuri sana.
Hivi ndivyo inavyotakiwa kushauri maboresho na kusifia pale wanapofanya vizuri.

Ili tunaowashabikia washinde inabidi wafanye vizuri.
 
Back
Top Bottom