Ugomvi wa Watigray na Serikali inatokana na kosa lililofanywa na PM AA baada ya kuingia madarakani kwa kutaka kufanya siasa za exclusion. Yaani kujaribu kuwaondoa watu waliokuwa wamejaa ndani ya Jeshi, Intelligence, Polisi, Utumishi wa Umma, Utawala na Siasa.