Tigopesa

dalu

Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
24
Reaction score
4
wakuu salama...nilipatwa na mshtuko baada ya kwenda kutoa pesa kwa wakala wa tigopesa na kuambiwa salio halitoshi,huku nikiwa nimetumiwa elfu 25.nikahamaki kidogo,uzuri yule dada akaniuliza hiyo pesa umetumiwa au ilikuwa salio kwenye akaunti yangu?nikamjibu nimetumia,akasema naomba nione hiyo sms,akaicheck then naona ananipa hela.nikauliza imewezekana akaniambia ndiyo hyo umetumiwa kutoka mtandao mwingine kwahiyo hiyo sms unatakiwa umuonyeshe wakala.Nikagundua kumbe sikuwa na uelewa juu ya hilo.siku njema
 
hadithi iyo inatufundisha nini?
 
co kila linalokukuta uliwasilishe hapa bana.hapa nadhani ishuka kimbilio la fikra mbovu na sio fikra pevu tena jaman.
 
Kudadadeki, mnatujazia kelele tu hapa kam helkopta ya Chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…