Akaunti ya mdogo wangu ilizuiwa kwa muda na zimeibwa pesa zote zilizokuwa kwenye akaunti shilingi laki nne na elfu hamsini.
Anayejua taratibu za kupata pesa hizo anijuze tafadhali.
Tigo wako vizuri kaka, nenda ofisi zao tu watarekebisha mara moja. Ingekua ni ile kampuni nyingine yenye misifa na kujiita ilikua inaongoza kwa wateja ningekuambia samehe. tiGO iko njema kabisa
nenda ofisini kwao lazima zirudi ukidai...
tigo ni wezi sana hila wala sio siri mpaka mawakala wa tigopesa hawawaamini...
ukikaa kimya ndio zimeenda hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.