Tigo wananikata hela kwenye huduma nisiyoitaka

Tigo wananikata hela kwenye huduma nisiyoitaka

Nakubaliana na wote mlioona airtime/GB zenu zimeisha kimaajabu. Mi nilinunua ofa ya 10GB kwa elfu35 na kuongezewa 10GB bonus, so nikawa na jumla ya 20GB. Hazikufikisha siku kumi. My average use ni 400-500MB. Siku hizi natumia TTCL Hotspot ya simu nyingine kuperuzi internet, it lasts just veeeery long!!
tiGo ni wezi, period!
 
Mkuu kweli wewe ni mwanafunzi? hiyo ni special kwa wanafunzi mkuu.
Huduma ya wanafunzi inapatikana kweny line yao za chuo tu.
Ikiwekwa kwenye *148*00# hiyo ni ofa bro. Watanzania kwa kujivunga wanaongoza.
Ndiyo maana nchi zingine wakijua ww ni mtanzania tu. Hawataki maelezo
 
Huduma ya wanafunzi inapatikana kweny line yao za chuo tu.
Ikiwekwa kwenye *148*00# hiyo ni ofa bro. Watanzania kwa kujivunga wanaongoza.
Ndiyo maana nchi zingine wakijua ww ni mtanzania tu. Hawataki maelezo
Mkuu acha kuniangusha, kweli jero inakufanya unapanic kiasi hiki?
 
Mkuu acha kuniangusha, kweli jero inakufanya unapanic kiasi hiki?
Ha ha ha ha
Mkuu hata km una hela kiasi gani km hauna matumizi sahihi mwisho wa siku lazima ubake masikini.
Hiyo hela ni ndogo. Maisha lazima yawe na matumizi sahihi. ili ufurahi maisha.
Unaenda kula hotelin, inabaki chenj, unaiacha kwasbb unahela zingine. Utakuwa unazi
hiyo hela unayosema ndogo nikikuambie uifidie ww. Lazima ule kona
 
Ha ha ha ha
Mkuu hata km una hela kiasi gani km hauna matumizi sahihi mwisho wa siku lazima ubake masikini.
Hiyo hela ni ndogo. Maisha lazima yawe na matumizi sahihi. ili ufurahi maisha.
Unaenda kula hotelin, inabaki chenj, unaiacha kwasbb unahela zingine. Utakuwa unazi
hiyo hela unayosema ndogo nikikuambie uifidie ww. Lazima ule kona
Poa mkuu
 
Back
Top Bottom