Tigo wananikata hela kwenye huduma nisiyoitaka

Tigo wananikata hela kwenye huduma nisiyoitaka

Wong Fei

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2016
Posts
5,509
Reaction score
7,263
Tangia walipopigwa faini kwa uzembe wao sasa wameamua kuwaibia wananchi kwa nguvu. Jana niliweka vocha ya 1,000. Nikajiunga na kifurushi cha 500 cha University.
Ukibonyeza *148*00#
Wakawa wamenipatia
1.Sh500=Dk30+SMS200+MB200 (Saa24)
Baadae naangalia salio limebaki 350, nacheki baadae imebaki 200. Nawapigia wananiambia umejiunga na Kifurushi cha hadithi ambacho unakatwa 150.

Utapeli wenyewe sasa
1. Kifurushi chenyewe sijajiunga nacho

2. Hadithi sijatumiwa mpaka sasa
Huu mtandao haufai kabisa. Baada ya kuona imebaki 500. Wameamua waje na gia uchwara ili waimalizie kabisa.

Kuanzia leo natupa line ya Tigo chooni. Meniuzi sana. Mgesema kama mnataka hiyo hela na siyo kuja na gia uchwara ya hadithi. Kama meshindwa kazi uzeni kampuni. Baada mfanye kazi meanza kutapeli TCRA hiyo faini ni ndogo sana. Next time muwapige faini ya bilion 10 kwasabb wameanza kutapeli.
 
Wewe na tigo nani mwizi?

Mtu mzima hivyo unajiunga na ofa za wanafunzi hata huoni aibu?

Btw mtandao wa tigo ni mtandao wa hovyo Afrika mashariki na kati, hata mtu anaetumia huo mtandao wa sim hua pia namuona kama mtu wa hivyo.

Hamia mitandao mingine ya maana, achana na mtandao wa makanjanja.
 
Niliweka 25,000/= mwishowe najikuta 0 kuanzia hapo sikuwahi kuweka vocha ya tigo
 
Tangia walipopigwa faini kwa uzembe wao sasa wameamua kuwaibia wananchi kwa nguvu. Jana niliweka vocha ya 1,000. Nikajiunga na kifurushi cha 500 cha University.
Ukibonyeza *148*00#
Wakawa wamenipatia
1.Sh500=Dk30+SMS200+MB200(Saa24)
Baadae naangalia salio limebaki 350, nacheki baadae imebaki 200. Nawapigia wananiambia umejiunga na Kifurushi cha hadithi ambacho unakatwa 150. Utapeli wenyewe sasa
1. Kifurushi chenyewe sijajiunga nacho
2. Hadithi sijatumiwa mpaka sasa
Huu mtandao haufai kabisa. Baada ya kuona imebaki 500. Wameamua waje na gia uchwara ili waimalizie kabisa. Kuanzia leo natupa line ya Tigo chooni. Meniuzi sana. Mgesema kama mnataka hiyo hela na siyo kuja na gia uchwara ya hadithi. Kama meshindwa kazi uzeni kampuni. Baada mfanye kazi meanza kutapeli TCRA hiyo faini ni ndogo sana. Next time muwapige faini ya bilion 10 kwasabb wameanza kutapeli.
Shubamit.........

Me ndio maana huwa vifurushi vyote najiunga kwa njia ya Tpesa au Mpesa,,, Hawana jeuri ya kukata salio la hela ntawafuata na upanga,, mambo ya kununua Vocha Nna zaidi ya miaka nane nishasahau
 
Hao jamaa wanakera balaa...usithubutu kuweka salio huku mobile data ipo ON
 
Sasa usiombe ukawa na salio kubwa, kila siku wanakata hiyo 150, na usipokua makini huwezi kugundua.

Kwa staili hiyo Tigo wameniibia sana.Nimejitoa zaidi ya mara mbili lakini ikipita wiki chache wanaanza kukata tena. Sasa hivi natumia tigopesa, ni mwendo wa vifurushi tu moja kwa moja.
 
Hamia halotel mkuu.

Ukiweka buku ukajiunga 500, jero yako iliyobaki utaikuta tu hakuna namna.

Hao wengine ni wasanii na wezi tu.
 
Wewe na tigo nani mwizi?

Mtu mzima hivyo unajiunga na ofa za wanafunzi hata huoni aibu?

Btw mtandao wa tigo ni mtandao wa hovyo Afrika mashariki na kati, hata mtu anaetumia huo mtandao wa sim hua pia namuona kama mtu wa hivyo.

Hamia mitandao mingine ya maana, achana na mtandao wa makanjanja.
Kupanga ni kuchagua. Nimeingia menu nikakuta vifurushi vya bei nafuu na ghari. Kwahiyo utachagua kipi? Lazima uende kweny vya unafuu mkuu.
Nyie ndiyo wale ambao baada ya kustafu hauna nyumba, wala kiwanja unasubiri hela za pensheni ununue kiwanja na ujenge. Kwann uhangaike na huduma ghari wakati za siyo ghari zipo? Utakuwa uwendawazimu.
Hongera yako. Naona unaropoka tu
 
Tangia walipopigwa faini kwa uzembe wao sasa wameamua kuwaibia wananchi kwa nguvu. Jana niliweka vocha ya 1,000. Nikajiunga na kifurushi cha 500 cha University.
Ukibonyeza *148*00#
Wakawa wamenipatia
1.Sh500=Dk30+SMS200+MB200 (Saa24)
Baadae naangalia salio limebaki 350, nacheki baadae imebaki 200. Nawapigia wananiambia umejiunga na Kifurushi cha hadithi ambacho unakatwa 150.

Utapeli wenyewe sasa
1. Kifurushi chenyewe sijajiunga nacho

2. Hadithi sijatumiwa mpaka sasa
Huu mtandao haufai kabisa. Baada ya kuona imebaki 500. Wameamua waje na gia uchwara ili waimalizie kabisa.

Kuanzia leo natupa line ya Tigo chooni. Meniuzi sana. Mgesema kama mnataka hiyo hela na siyo kuja na gia uchwara ya hadithi. Kama meshindwa kazi uzeni kampuni. Baada mfanye kazi meanza kutapeli TCRA hiyo faini ni ndogo sana. Next time muwapige faini ya bilion 10 kwasabb wameanza kutapeli.
Huwa nachelea kusema kuwa Watu wa TCRA wana maslahi na hii mitandao. Trust me brother. Inauma saaaaana na ni wengi Sana tunafanyiwa huu ushenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom