Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Mnasikia ninyi TIGO na mitandao mingine, msitufanye watanzania wapumbavu na wendawazimu, mnaendelea kupunguza vifurushi maanake nini!!! Tumewakalia kimya ndiomaana mnaendelea kufanya ambavyo wanataka.
Nasema hivi endeleeni tu kupunguza, kuna siku kitawaka, kama hamkuona ofisi zenu ziki..teke..tez..wa na moto.
Wasalaam.
Nasema hivi endeleeni tu kupunguza, kuna siku kitawaka, kama hamkuona ofisi zenu ziki..teke..tez..wa na moto.
Wasalaam.