TIGO uku ni kutesana sasa!!!!

TIGO uku ni kutesana sasa!!!!

Wewe utakuwa ni mwanafunzi wakaona wakupe saizi yako.

Nakumbukua enzi zangu za shule nilikuwa nalala saa 8 hadi saa 9 usiku.
 
Hata hii iko poa mkuu hiyo yangu tatizo hizo mb za usiku
Hio yako umepewa hivyo kutokana na aina ya matumizi unayoyafanya maana mbona mimi yangu ipo kawaida tu ni 2500 kama nilivyoambatanisha hapa ila tatizo ni moja network ipo slow sana sinawahi kuona
 
Shule nimemaliza kitambo sana mkuu saivi nina mishe zangu tu uku Town, sema tigo wameamua kutufanya wote tuwe walinzi.
Wewe utakuwa ni mwanafunzi wakaona wakupe saizi yako.

Nakumbukua enzi zangu za shule nilikuwa nalala saa 8 hadi saa 9 usiku.
 
Shule nimemaliza kitambo sana mkuu saivi nina mishe zangu tu uku Town, sema tigo wameamua kutufanya wote tuwe walinzi.
Basi wasiliane na huduma kwa wateja au ile namba yao ya watsap. Wanaweza kukusaidia.

Ukiwapigia waambie hivii.

" oya wana niaje , mbona mmeniwekea makaratee ambayo sio saizi yangu. Kama vip nifanyieni maujanja nipate saizi yangu. Tigo live it , love it."
 
Ntawaibukia tu mkuu ili tuelewane vzr kama vipi watoe hiyo gb yao ya usiku
 
kwanza juzi walikuwa wanakata Mb kama hawana akili nzuri hadi nimeamua kutumia airtel kwanza
 
Yaani tigo nnayo kwa kua tu nisipoteze watuuu!!!ila anaweza kua hata miezi sijaweka salio
Hahahaha, kesheni ,maana muda huo wengine huko waliko ni mchana au mna jiangalia nyie tu wa Tz ?

au km vipi download series na movies ,na ma documents ,mchana una soma na kuangalia tu
 
Mie huu mtandao umenikalia kushoto kweli, nishasajili line kama mara 3 mwisho zinafungiwa tu hata situmii[emoji134]
Yaani tigo nnayo kwa kua tu nisipoteze watuuu!!!ila anaweza kua hata miezi sijaweka salio
 
Back
Top Bottom