Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Hivi mna naana gani ku interrupt maongezi yangu kwa ajili ya kiniambia eti muda wangu wa maongezi umebaki dakika moja?
Simu yangu ninyi inawahusu nini, kwanini kama basi ni lazima kiniambia msiweke tu hata beep ya kunitarifu, this is unacceptable, najua mtapita hapa, fanyieni kazi mapungufu hayo Mara moja.
Thank you for understanding.
Simu yangu ninyi inawahusu nini, kwanini kama basi ni lazima kiniambia msiweke tu hata beep ya kunitarifu, this is unacceptable, najua mtapita hapa, fanyieni kazi mapungufu hayo Mara moja.
Thank you for understanding.