Tigo Pesa na M-Pesa line kwa bei nafuu

Tigo Pesa na M-Pesa line kwa bei nafuu

stepper

Senior Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
112
Reaction score
56
Zote mbili nauza laki tano nPM kama unataka tufanye biashara

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Vip zinauwezo wa kusajiri pia?

Ndio zin sajili na mambo mengine yote yanayopatikana kwenye line za Tigo Pesa na M-Pesa za kawaida

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Unaweza ukanipigia kwenye namba 0764114479. Naomba unisaidie hizo line nitawezaje kuzipata
 
Hivi kwani huko kwenye hayo makampuni wameacha kusajili mawakala wengine? Kama bado kwa nini mtu ununue uwakala uliosajiliwa kwa jina la mtu mwingine wakati nafasi ya kujisjili kwa jina lako ipo?
Watanzania kwa kupenda michepuko? Halafu baadae mnalia mmepigwa!


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Hivi kwani huko kwenye hayo makampuni wameacha kusajili mawakala wengine? Kama bado kwa nini mtu ununue uwakala uliosajiliwa kwa jina la mtu mwingine wakati nafasi ya kujisjili kwa jina lako ipo?
Watanzania kwa kupenda michepuko? Halafu baadae mnalia mmepigwa!


Sent from my iPad using JamiiForums
Umefanya vizuri umeuliza , line ni hadimu na ukimpata aliyesajili kwajina lake manake niza ukweli


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom