MwanawaMUNGU41
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,052
- 749
Wazima humu? Samahani naomba kujua bei za na jinsi ya kupata line za uwakala wa tigo pesa,m-pesa,airtel - money msaada ndg zangu!
Kilwa somanga myUpo sehemu gani nikuelekeze?
Yuko wap huyu mtu aseeekuna mtu anaweza kukusaidia bt yy tigo +voda + airtel zote tato 580k na zote zinakuwa kwa majina yako ukitaka ni pm nikuunganishe nae
Wa tigo au voda?Njoo na leseni na tin njia ya shekilango big bon kuna wakala pale mkuu chin wanauza ges
Haiuzwi?Haziuzwi ni bure nenda ofisi husika
Tin n lesseni vinacost bei gni?Tembelea Vodashop na ofisi za hyo mitandao nyingine ukiwa na leseni na tin namba huduma hii inapatikana bure
Hizi line haziuzwi ,.. ni bureHaiuzwi?
Unachukua leseni ya biashara na tin namba kama unayo ambayo labda unazitumia kwenye shuhuli nyingineTin n lesseni vinacost bei gni?
Kama leseni huna je?Unachukua leseni ya biashara na tin namba kama unayo ambayo labda unazitumia kwenye shuhuli nyingine