Tigo mnakera sana kwenye huduma ya Tigopesa

Tigo mnakera sana kwenye huduma ya Tigopesa

wa2kumi

Member
Joined
Nov 6, 2015
Posts
32
Reaction score
8
Kwa nn hamtaki kurejesh fedha za watu pindi zinapotumwa kimakosa kwa tigo pesa? wiki nzima mnasema mnashughulikia pamoja na swala hilo kuripotiwa kwenu hakuna jitihada zozote zinazofanyika au ndyo mmejenga kiburi kwa sababu makampuni ya simu ni machache? Naendelea kuwasumbua ili haki yangu irudi baada ya hapo nahama mtandao wenu hii kero sasa imetosha
 
Daaaaa yaaani hawa jamaaa mapimbi sana mm hii inaenda wiki ya pili sasa kila ukiwapgia suala lako linashughulkiwa baada ya Masaaa 24 pesa itarudshwa...Naona wanatest chemical reaction za watu
 
Wamejenga jeuri nadhani hizi pesa watakuwa wanazizungusha ila mwisho wao unakuja.
 
Huduma za Tigo zimekuwa ni kero na zinazingua sana inafaa TCRA wawashughulikie.
 
Nashukuru sijawahi na sina mpango wa kutumia mtandao huo.
 
Hawa Mimi sina hamu nao hata kidogo nasitatumia line ya tigo kamwe walinikera wiki kila siku unapiga simu lakini wapi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom