MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
Wakuu tangu Jana najaribu kuunga kifurushi cha chuo sikioni kwenye menu kama ilivyozoeleka...hichi kifurushi kimefutwa rasmi nini
Wamefulia hao mi na week ss sikion pumbav zao....... nimerud zang voda kwa speed kali huk uni ofa naipata bila tabuuuuWakuu tangu Jana najaribu kuunga kifurushi cha chuo sikioni kwenye menu kama ilivyozoeleka...hichi kifurushi kimefutwa rasmi nini
Nimetoka kujiunga muda huu....
Sijamaliza mkuukwani hujamaliza chuo bado
Kawaida kama unavyoona hapo mkuu....Mkuu umejiunga vipi mbona wengine tukiingia kwenye menu hatukioni
Kwakweli mimi sasa Nimerudi Nyumbaninjoo ttcl
pongezi kwako tafadhari una miatano unapewa mb 800 unakosa nn? etyKwakweli mimi sasa Nimerudi Nyumbani
Wakuu tangu Jana najaribu kuunga kifurushi cha chuo sikioni kwenye menu kama ilivyozoeleka...hichi kifurushi kimefutwa rasmi nini
Mimi najiunga 5000 Napata 7gb. Hata ikiisha kabla ya huo mwezi Naona Sawa Nakuwa nimetumia Vya kutosha kuliko mwanzo nilikuwa najiunga airtel 2000 unapata 1 gbpongezi kwako tafadhari una miatano unapewa mb 800 unakosa nn? ety
Hyo ni Kwa week au siku mkuupongezi kwako tafadhari una miatano unapewa mb 800 unakosa nn? ety
Ndowalivo ila nkushaur Tu dogo,usipende vya bureVoda nao wanazingua mpaka leo hii lain yangu hawajai-activate kuwa ya chuo na walikuja chuo tukaandika namba zetu