I am writing to air my disappointment with tiGo Tanzania data prices!
Every day i pay Tshs 2000 for a 1Gb Internet Bundle!
Surprisingly,Today i can only get 800 Mb at the same price,a significant reduction of 200Mb frm their package!
This is hilarious and a new form of theft to an already squeezed customer
huduma ya mawasiliano ni anasa kwa Tanzania-sijui TCRA wanafanya kazi gani,kama mjuavyo makampuni ya simu yapo katika kundi la oligopoly market hivyo labda makampuni mengine nayo ikawa hivyo
Nilishaga toa line ya Tgo University Offer tangu mwaka 2017 baada ya kupunguza bundle zao kwa kiasi kikubwa sana bora kutumia Airtel ,Voda au Halotel kuna unafuu