Airtel, Vodacom, Halotel, Zantel na TTCL hamjaona fursa ya kunadi biashara zenu ktk msimu huo ambao Tigo wameutangazia umma wa Watanzania kuwa kwao usiri wa taarifa za wateja wao siyo kipaumbele?
Muda huu mnatakiwa kuanzisha bundle zenye majina kama.
Siri bundle (Dakika 10 mitandao yote + Ujumbe mfupi 100 + Data 100MB) kwa shilingi 500 tu.
Freeman bundle (Dakika 100 mitandao yote + MB 50) kwa shilingi 1000
Kwa kipindi hiki mkiweka vifurushi vyenye majina kama hayo mkayatangaza nina uhakika kabisa mtapata wateja wengi ambao watahama kutoka upande wa pili.
Ninamshukuru Mungu tangu nianze matumizi ya simu sijawahi kumiliki line ya Tigo.
Muda huu mnatakiwa kuanzisha bundle zenye majina kama.
Siri bundle (Dakika 10 mitandao yote + Ujumbe mfupi 100 + Data 100MB) kwa shilingi 500 tu.
Freeman bundle (Dakika 100 mitandao yote + MB 50) kwa shilingi 1000
Kwa kipindi hiki mkiweka vifurushi vyenye majina kama hayo mkayatangaza nina uhakika kabisa mtapata wateja wengi ambao watahama kutoka upande wa pili.
Ninamshukuru Mungu tangu nianze matumizi ya simu sijawahi kumiliki line ya Tigo.
