Tigo acheni wizi!

Tigo acheni wizi!

hahaa TIGO HADITHI TENA !!?

daahh huo wizi uliokubuhu mnoo aisee
sasa umri huo ..wewe hadithi za nini mkuu..?
 
Tigo wezi hatari. Hata Mimi Nimeungwa kilazima. Dawa n Kuachana nae
 
Hizo hadithi zikoje? Wanakusimulia au wanakutumia kwa sms. Alafu wanazitoa wapi? Wao wananunua? Si wangewapa bure wateja wao kama kivutio?
 
Nimeweka salio la 2000 baada ya kama masaa 2 nataka kujiunga naambiwa salio lako halitoshi, kuangalia nakuta 1850. Nimewapigia wameniambia wamekata 150 huduma ya TIGO HADITHI.
Nimeshangaa sana sijawahi jiunga na huduma kama hii, kweli me mtu mzima na majukumu yangu nisikilize HADITHI. Ni mambo ya kijinga sana haya!

Msaada kwa WANASHERIA namna ya kukomesha tabia hii ya kijinga sana.
Wamenikasirisha sana.
Umejiunga mwenyewe bla kujijua. Nenda kwenye hyo App ya hadithi ujiondoe vinginevyo watakukata kila siku.
 
yani tigo sijui hawapendi simu yako iwe na salio .wanataka ujiunge tu apo apo unapoweka salio.ukichelewa tu inakula kwako wanakuunga kwenye huduma za ajabu ajabu.
 
line yao imebaki ya kupokelea cm tu..siweki sentano kipande..nimehania 'ya kwako tu'
 
Trust me, wana tafuta hela ya kumlipa AY na mwenzake
 
Back
Top Bottom