hopetumaini
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 529
- 317
Nimeweka salio la 2000 baada ya kama masaa 2 nataka kujiunga naambiwa salio lako halitoshi, kuangalia nakuta 1850. Nimewapigia wameniambia wamekata 150 huduma ya TIGO HADITHI.
Nimeshangaa sana sijawahi jiunga na huduma kama hii, kweli me mtu mzima na majukumu yangu nisikilize HADITHI. Ni mambo ya kijinga sana haya!
Msaada kwa WANASHERIA namna ya kukomesha tabia hii ya kijinga sana.
Wamenikasirisha sana.
Nimeshangaa sana sijawahi jiunga na huduma kama hii, kweli me mtu mzima na majukumu yangu nisikilize HADITHI. Ni mambo ya kijinga sana haya!
Msaada kwa WANASHERIA namna ya kukomesha tabia hii ya kijinga sana.
Wamenikasirisha sana.