Tido Mhando ni kada wa CCM?


Nani alizifanya?..,au hajui kati yao ndio hawa wakurugenzi wa wilaya?
 
K

Kwa kifupi alionyesha wazi kuwa sasa JPM amemaliza kila kitu hakuna haja ya kulalamika, maandamano etc! Alikuwa anatoa maswali akiwa na majibu yake tayari na hukumu yake. Nimeeleza humu
Hufai na wala huna sifa ya kuwa mwanahabari!JPM kesho akienda kuhojiwa,atabanwa kwanini anazuia maandamano na mikutano ambayo ipo kikatiba?Au umeanza kumsikiliza Tido juzi?Ulisikia alivyomhoji Dr Tulia,kila mtu alimsifia Tido!
 
Tido aliuliza maswali vizuri sana!Kiukweli Mimi sikubaliani na ccm katika mambo mengi ila kusema Tido alikuwa ameegemea huko si sawa!Siku zote ukitaka kuwa mwanahabari bora,kuwa kama uko upande tofauti na mgeni wako!Hapo ndio utapata maswali ya msingi ya kuhoji!Rudi nyuma,kamsikilize Tido akimhoji Dr Tulia!
 
Reactions: MTK

Tusitafute visingizio Mani asiyejua kuwa Jamaa yenu ana matatizo ya kujieleza ka hilo ni miongoni mwa yaliyomuangusha ktk uchaguzi uliopita mmeshasahau alivyoshindwa kumjibu zyule mdada wa BBC akasema anamuonea kwa kumuuliza swali.
 
Hufai na wala huna sifa ya kuwa mwanahabari!JPM kesho akienda kuhojiwa,atabanwa kwanini anazuia maandamano na mikutano ambayo ipo kikatiba?Au umeanza kumsikiliza Tido juzi?Ulisikia alivyomhoji Dr Tulia,kila mtu alimsifia Tido!
Sawa kwa Tulia aliweza, jana hajafikia viwango tunavyomtegemea! Full stop!
 
Mahojia
ushamfanyia nani mahojiano?
Mahojiano/uandishi wa habari is not a a rare profession! Ndio maana kuna waandishiwa habari kutoka vyuo vya kipuuzi na wanafanya mahojiano!
 
Sio kweli,Tido yuko neutral kabisa,nasikiliza hapa naona anajenga maswali mazuri
hana lolote ni kada la ccm na njaa pia inamsumbua huwezi kuchaguliwa tbc kama sio kada la ccm
 
hana lolote ni kada la ccm na njaa pia inamsumbua huwezi kuchaguliwa tbc kama sio kada la ccm
We vipi?Hujui kuwa yuko Azam TV?Hujui kuwa alifukuzwa TBC baada ya kuwa objective kwa kazi yake tofauti na ccm walivyotaka
Usikurupuke
 
Ulitaka aulizwe maswali yepi labda ili ujue yuko neutral

Yaani Mkuu ni sawa na Jimbo lolote CDM akishinda pingamizi ilowekwa na CCM, jamaa huwa wanasema mahakama imetenda haki ILA -----Jimbo la CCM likishinda pingamizi waloweka CDM basi hawa jamaa straight huwa wanasema Mahakama haijatenda haki dah....ni shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…