TID amlalamikia Billnass, ‘sijapenda alikuwa akinibembeleza nimsaidie ajulikane'

bil anajua kujieleza, i like him, masela wanakunja, watakunjua tu pambaf zao
chafu pozi...dogo anajielewa...motech mchopanga mwenyewe alisema dogo ndo the next best thing......zilla amelizika alipofikia acha dogo atoboe
 
chafu pozi...dogo anajielewa...motech mchopanga mwenyewe alisema dogo ndo the next best thing......zilla amelizika alipofikia acha dogo atoboe
sure bro! dogo yupo vizuri kiukweli.. ana staili flani ya kujitofautisha.. zilla katoa next level lakini haijafika popote kulinganisha na chafu pozi
 
Msanii wa muziki na Mkurugenzi wa kundi la Radar Entertainment, TID ameingia kwenye mgogoro na rapper Billnas aliyekuwa member wa kundi hilo kabla ya kutimkia katika label mpya ya ‘LFLG’.

xTID.jpg.pagespeed.ic.Ar8Si2ZWT7.jpg

Mapema mwaka huu Billnas aliiambia Bongo5 kuwa aliondoka Rada bila matatizo na mtu yeyote.

Akiongea na Clouds Fm, TID amedai Billnass amesahau alikotoka na hatoi heshima kwa watu walio msaidia kumfikisha hapo alipo sasa.

“Mi sijapenda alikuwa akinibembeleza nimsaidie ajulikane, alikuwa ana nidhamu lakini sasa hivi hanipigii simu, tukimwambia afanye hivi hataki,” alilalamika TID. “Why do we help people who do not help us, why he think he is on top all over the sudden no!! People don’t live like that… People need to respect the people who help u… And of the day,”

Aliongeza, “Mimi i gave out to my heart, my voice, my energy, my talent to make him shine but I don’t see any effort, hajanipa hata laki moja kuniambia nashukuru, anafanya tour hata kuniambia Mzee Mnyama chukua hii laki tano umenifanyia chorus kali neve, huyo mtu wa aina gani hata ungekuwa wewe usingefurahi basi hata shilingi elfu kumi. The first time mimi ndiye niliyemleta Clouds Fm kufanya interview ananiambia siwezi kuongea anatetemeka, ningetaka kumsign halafu ningemmaliza ingekuwa kila napokwenda kufanya shoo angekuwa ananilipa lakini niliona kwamba sina shida kitu nilichokuwa nakihitaji ni ‘appreciation’ ndo maana watu wanatoa cirtificate of ‘Appreciation’,”

Kwa upnde wa Billnas akizungumzia issue hiyo alisema kuwa ameichukulia kawaida kauli hiyo na hajamkimbia TID.

“Mimi natambua mchango wake na nimewahi kuzungumza mara nyingi na najua nafasi yake kwangu na sijawahi kumdharau na kuondoka Radar halitakiwi liwe kosa,” alisema Billnass.
Tenda wema nenda zako TID acha UDWANZI Wabongo wakikusaidia wanataka kila saa ujipendekeze
 
That's is my boy. Bill nass bill nengaaaaa. SEMA CHAFU POZI. Maneno kitu simpo
 
Siku ya kwanza kusikia ligi ndogo nilizani Godzilla katoa kitu kipya..nikaambiwa ni billnass..da! ila chafu pozi nimekubali ni kali sana.. jamaa yuko humble..hana ngebe..
 
Huyo TID ndio kauli zake za kila siku nakumbuka hata ommy dimpoz na alawi junior walipojitoa top band aliongea shit hizo hizo,watu wanataka maendeleo siyo longo longo,kashaongea shit kwa q chillah na hata kwa diamond peole they don't want to stuck on u Tidiii!
omary nyemo ana dharau tena sana tu...
tatizo hawa wasanii wakishatoka wakaijua njia wana dharau mno...
na kama umemtoa mtu njia panda ukampeleka nyumbani afu akaleta dharau una haki ya kulalamika hata mimi binafsi!
kama wanamuona TID hafai kwanini wanamtafutaga wapate pa kutokea??
 
Inampasa mwanafunzi kumshirikisha mwalimu wake katika mema yote. Dogo arudi nyuma aombe radhi hata kama anajiona hana tatizo kwani upandacho ndicho utakachovuna mwalimu wake bado anayo nafasi kwake.
 
Yes TID ni bidhaa kubwa sana kwenye kiwanda cha muziki wa kizazi kipya.... Akikuwekea chorus tu kwenye nyimbo yako lazima iwe hit song.

Sasa vijana wanaotaka kutoka wanalitambua hilo so na wanatoka kupitia yeye.

Kuhusu kumdharau TID nadhani ni life style yake inamfanya tid adharaulike.. kifupi tid hakupaswa kuwa kama alivyo.TID ni star kwanini umechagua maisha hayo TID..

Bill Nas hebu jifunze kuishi na huyu jamaa vzr haya maneno maneno na ww ndio kwanza una nyimbo 3 sio nzuri kwa biashara yako ya muziki.

Rudi TID,Q-Chief, Nuruely, Makamua,Josline,QJ, Nature,Daz baba,ferouz...

Kuna vitu vinamiss sana kwenye hii game ya bongo hao niliowataja hapo juu kuna radha fulani imepotea kwenye muziki wetu na wao ndio wanayo.
 
Ila kiukweli wasanii wabongo shukrani zero. Mtu akifanikiwa anatamani kufuta historia yote. Wenzetu hata kama mmetofautiana lakini anaona fahari kuzungumzia alikotoka na jinsi alivyopata msaada. Ndio maana husaidia wengine kujua mapito yako halisi ili pia wasikate tamaa. Ni vyema kuonesha heshima kwa waliotushika mkono hilo tu linatosha maana huwezi kumfurahisha kila anachotaka lakini heshima na kuwa sehemu ya historia yako.
 
Ila kiukweli wasanii wabongo shukrani zero. Mtu akifanikiwa anatamani kufuta historia yote. Wenzetu hata kama mmetofautiana lakini anaona fahari kuzungumzia alikotoka na jinsi alivyopata msaada. Ndio maana husaidia wengine kujua mapito yako halisi ili pia wasikate tamaa. Ni vyema kuonesha heshima kwa waliotushika mkono hilo tu linatosha maana huwezi kumfurahisha kila anachotaka lakini heshima na kuwa sehemu ya historia yako.
Ila dogo kwenye maelezo yake sijaona mahali anamdharau TID, naonaga anampa respect ya kutosha, inabidi awe professional sasa huyo TID haya mambo ya kufanya biashara kisela ndio yanamgharimu, angeingia naye mkataba mzuri kama anavyofanya Diamond kwa wasanii wake sahivi angekuwa anapata hela ya bila na ngada (lol) kupitia show za dogo, wala asingekuwa analia hivi
 
Godzilla mimi namuona anamuiga fifty cent, alafu BILL anamistari mikari, inawezekana anamuiga kiasi Fulani zilla si unajua hawa jamaa wote wanasoma chuo kimoja ( CBE), shida ni kitu gani na tunaishi maramoja,
Sawa zilla ana mcopy 50,bill anamcopy Zilla......kibongo bongo Zilla mkali kwa kila kitu swaga,michano,minato na biti.Bilnas bado sana akaze,kwa track 2 asijione ndo kafika na kuanza kuanzisha mabifu ya kilof.a!!
 
Back
Top Bottom