P. Majaribu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 1,195
- 621
Mzee mnyama,kigogo,warioba apewe heshima yake.
chafu pozi...dogo anajielewa...motech mchopanga mwenyewe alisema dogo ndo the next best thing......zilla amelizika alipofikia acha dogo atoboebil anajua kujieleza, i like him, masela wanakunja, watakunjua tu pambaf zao
sure bro! dogo yupo vizuri kiukweli.. ana staili flani ya kujitofautisha.. zilla katoa next level lakini haijafika popote kulinganisha na chafu pozichafu pozi...dogo anajielewa...motech mchopanga mwenyewe alisema dogo ndo the next best thing......zilla amelizika alipofikia acha dogo atoboe
Tenda wema nenda zako TID acha UDWANZI Wabongo wakikusaidia wanataka kila saa ujipendekezeMsanii wa muziki na Mkurugenzi wa kundi la Radar Entertainment, TID ameingia kwenye mgogoro na rapper Billnas aliyekuwa member wa kundi hilo kabla ya kutimkia katika label mpya ya ‘LFLG’.
Mapema mwaka huu Billnas aliiambia Bongo5 kuwa aliondoka Rada bila matatizo na mtu yeyote.
Akiongea na Clouds Fm, TID amedai Billnass amesahau alikotoka na hatoi heshima kwa watu walio msaidia kumfikisha hapo alipo sasa.
“Mi sijapenda alikuwa akinibembeleza nimsaidie ajulikane, alikuwa ana nidhamu lakini sasa hivi hanipigii simu, tukimwambia afanye hivi hataki,” alilalamika TID. “Why do we help people who do not help us, why he think he is on top all over the sudden no!! People don’t live like that… People need to respect the people who help u… And of the day,”
Aliongeza, “Mimi i gave out to my heart, my voice, my energy, my talent to make him shine but I don’t see any effort, hajanipa hata laki moja kuniambia nashukuru, anafanya tour hata kuniambia Mzee Mnyama chukua hii laki tano umenifanyia chorus kali neve, huyo mtu wa aina gani hata ungekuwa wewe usingefurahi basi hata shilingi elfu kumi. The first time mimi ndiye niliyemleta Clouds Fm kufanya interview ananiambia siwezi kuongea anatetemeka, ningetaka kumsign halafu ningemmaliza ingekuwa kila napokwenda kufanya shoo angekuwa ananilipa lakini niliona kwamba sina shida kitu nilichokuwa nakihitaji ni ‘appreciation’ ndo maana watu wanatoa cirtificate of ‘Appreciation’,”
Kwa upnde wa Billnas akizungumzia issue hiyo alisema kuwa ameichukulia kawaida kauli hiyo na hajamkimbia TID.
“Mimi natambua mchango wake na nimewahi kuzungumza mara nyingi na najua nafasi yake kwangu na sijawahi kumdharau na kuondoka Radar halitakiwi liwe kosa,” alisema Billnass.
Ligi ndogotupieni basi audio ya hiyo billnas humu,wengine hatumjui kabisaaa
omary nyemo ana dharau tena sana tu...Huyo TID ndio kauli zake za kila siku nakumbuka hata ommy dimpoz na alawi junior walipojitoa top band aliongea shit hizo hizo,watu wanataka maendeleo siyo longo longo,kashaongea shit kwa q chillah na hata kwa diamond peole they don't want to stuck on u Tidiii!
Ila dogo kwenye maelezo yake sijaona mahali anamdharau TID, naonaga anampa respect ya kutosha, inabidi awe professional sasa huyo TID haya mambo ya kufanya biashara kisela ndio yanamgharimu, angeingia naye mkataba mzuri kama anavyofanya Diamond kwa wasanii wake sahivi angekuwa anapata hela ya bila na ngada (lol) kupitia show za dogo, wala asingekuwa analia hiviIla kiukweli wasanii wabongo shukrani zero. Mtu akifanikiwa anatamani kufuta historia yote. Wenzetu hata kama mmetofautiana lakini anaona fahari kuzungumzia alikotoka na jinsi alivyopata msaada. Ndio maana husaidia wengine kujua mapito yako halisi ili pia wasikate tamaa. Ni vyema kuonesha heshima kwa waliotushika mkono hilo tu linatosha maana huwezi kumfurahisha kila anachotaka lakini heshima na kuwa sehemu ya historia yako.
Sawa zilla ana mcopy 50,bill anamcopy Zilla......kibongo bongo Zilla mkali kwa kila kitu swaga,michano,minato na biti.Bilnas bado sana akaze,kwa track 2 asijione ndo kafika na kuanza kuanzisha mabifu ya kilof.a!!Godzilla mimi namuona anamuiga fifty cent, alafu BILL anamistari mikari, inawezekana anamuiga kiasi Fulani zilla si unajua hawa jamaa wote wanasoma chuo kimoja ( CBE), shida ni kitu gani na tunaishi maramoja,