Usafiri wa Anga Kwa Air Tanzania Dar es slaam to Mwanza gharama yake sio ya uchumi wa Mtanzania Tiketi zipo juu sana ukilinganisha na kipindi cha miezi sita nyuma
Sababu itakua nini?
au watanzania sasa wameimarika kiuchumi ?
Usafiri wa Anga Kwa Air Tanzania Dar es slaam to Mwanza gharama yake sio ya uchumi wa Mtanzania Tiketi zipo juu sana ukilinganisha na kipindi cha miezi sita nyuma
Sababu itakua nini?
au watanzania sasa wameimarika kiuchumi ?