HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
Hi jf members,
naombeni msaada wa dawa itakayonisaidia kutibu tumbo linalouma. Nimeenda kupima kwa daktari nikaambiwa enzymes zangu ni weak/dhaifu kwahiyo tumbo linakuwa na wakati mgumu sana kusaga chakula.
Pia daktari akashauri nisiwe nakula vyakula kama mayai na samaki na soda zenye gesi nyingi kama pepsi na kokakola.
Najua wataalamu mpo hapa jf, naombeni mnisaidie ktk hili na kwa wale wote waliokutana na hii case, i would appreciate their
moral and professional advise.
Nawatakieni j2 njema.
naombeni msaada wa dawa itakayonisaidia kutibu tumbo linalouma. Nimeenda kupima kwa daktari nikaambiwa enzymes zangu ni weak/dhaifu kwahiyo tumbo linakuwa na wakati mgumu sana kusaga chakula.
Pia daktari akashauri nisiwe nakula vyakula kama mayai na samaki na soda zenye gesi nyingi kama pepsi na kokakola.
Najua wataalamu mpo hapa jf, naombeni mnisaidie ktk hili na kwa wale wote waliokutana na hii case, i would appreciate their
moral and professional advise.
Nawatakieni j2 njema.