Tiba ya pingiri za Uti wa Mgongo

Joined
Jun 23, 2013
Posts
44
Reaction score
12
Wadau nasumbuliwa na Tatizo la Maumivu ya Pingiri za Uti wa mgongo kuanzia kwenye Kiuno pingiri S1,L5,L5 kipimo cha MRI kimeonyesha jle Ute umeisha na pingiri kidogo zimekuwa Bulge Disk na Herniated Disk hali hiyo ndiyo inafanya Nerves za Uti wa mgongo kubanwa na kuniletea maumivu,mwenye kujuwa Wataalam wa mitishamba anisaidie maana Hosp wanataka upasuaji tu wa uti wa mgongo,Anaejuwa tiba ya hili tatizo anijulishe DM
 
Duuh, pole sana ndugu.
Nina imani wanao fahamu hii kitu watakusaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tiba ya hilo tatizo ni operation tu( india wako vizuri sana kwa hizo operation hata Tz nasikia wanafanya).. huko.unakotaka kwenda utapoteza muda bure na kuongeza ukubwa wa tatizo na kuendelea kupata maumivu bila sababu
 
Pole sana ndugu, hili tatizo kwa mitishamba sidhani kama ni rahisi kulitibu na utajichanganya kimawazo. Kuna option ya dawa, mazoezi na surgery na uchukue option ipi inategema na daktari wako atakavyoona hzo discs zimebuldge kiasi gani.

Mama yangu mzazi alikuwa na tatizo la mgongo miaka mingi sana kwa sababu ya herniated discs. Alitumia dawa za hospital, mitishamba, akafanyiwa mazoezi Aga Khan kwa muda lakin finally mwaka 2016 ilibid afanyiwe tu surgery. Tulitaka kumpeleka India lakin in the process tulikutana na Consulting Neurosurgeon aliye handle case ya mama hapo Muhimbili MOI anaitwa Dr. Anthony.

Binafsi tuliogopa sana option ya surgery lakini hawa janaa ni proffesionals, kwanza operation kma hii ili ipewe go ahead ni panel ya madaktari wanareview case yako na kushauriana nin cha kufanya. Surgey ilifanyika salama kabisa. Disc moja waliitoa, nyingine walifanya kma kutrim zilipo-bulge (mi sio mtaalamu naeleza tu experience)

Alishauriwa pia kupunguza uzito, kuepuka baadhi ya kazi. Kwa sasa ameshapona vzuri na amerudi kazini kawaida kabisa.

Kama daktari wako amekushauri surgery, usiogope mkuu, its a safe option na procedure hiyo wala sio kitu kipya. Its common, na utapona tu ndugu. Pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwa tatizo kiongozi,,mimi mwenyewe ninasumbuliwa na tatizo kama lako,,lkn pia nimeku PM, but upo kimya unaweza kutia inbox yako ya jamii forums tukajua tunashauriana vip kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu itabidi nikucheki maana ninatatizo aisee vp malipo kwa bima yanakubalika
 
mkuu hujibu swali langu kama mnapokea malipo kwa bima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…