Tiba ya miguu kuuma

Tiba ya miguu kuuma

sayoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
5,281
Reaction score
7,953
Habari waungwana , nina tatizo LA miguu kuuma pindi niamkapo asubuhi , hasa huuma kwenye visigino pindi nikianza kutembea na nikitembea tembea inaacha kuuma.
Pia nikikaa muda mrefu , nikianza kutembea pia visigino huuma pia.
Msaada waungwana kwa Mwenye kujua tiba yake
 
Wataalam Wa tiba mkuje huku
 
Habari waungwana , nina tatizo LA miguu kuuma pindi niamkapo asubuhi , hasa huuma kwenye visigino pindi nikianza kutembea na nikitembea tembea inaacha kuuma.
Pia nikikaa muda mrefu , nikianza kutembea pia visigino huuma pia.
Msaada waungwana kwa Mwenye kujua tiba yake

Una umri gani mkuu?

Uzito wako je?

Unatumia pombe na nyama nyekundu sana?

Unaweza kwenda cheki level za Uric acid hospitalini Kama Zika juu inaweza ikawa sababu

Ila Jibu maswali hapo juu kwa Masada zaidi..
 
Una umri gani mkuu?

Uzito wako je?

Unatumia pombe na nyama nyekundu sana?

Unaweza kwenda cheki level za Uric acid hospitalini Kama Zika juu inaweza ikawa sababu

Ila Jibu maswali hapo juu kwa Masada zaidi..
Umri miaka 35, uzito 75Kg
Situmii pombe kabisa na nyama nyekundu sio mpenzi naweza pitisha hata mwezi bila ya kula nyama nyekundu
 
Habari waungwana , nina tatizo LA miguu kuuma pindi niamkapo asubuhi , hasa huuma kwenye visigino pindi nikianza kutembea na nikitembea tembea inaacha kuuma.
Pia nikikaa muda mrefu , nikianza kutembea pia visigino huuma pia.
Msaada waungwana kwa Mwenye kujua tiba yake
May be plantar fasciitis ila jaribu pia kumuona physiotherapist
 
Kuna uwezekano unatatizoo la neuron kapime hospitali ikithibitika njoo uombe ushauri
 
Habari waungwana , nina tatizo LA miguu kuuma pindi niamkapo asubuhi , hasa huuma kwenye visigino pindi nikianza kutembea na nikitembea tembea inaacha kuuma.
Pia nikikaa muda mrefu , nikianza kutembea pia visigino huuma pia.
Msaada waungwana kwa Mwenye kujua tiba yake
Huenda ni uzito mkubwa angalia hii
 
Habari waungwana , nina tatizo LA miguu kuuma pindi niamkapo asubuhi , hasa huuma kwenye visigino pindi nikianza kutembea na nikitembea tembea inaacha kuuma.
Pia nikikaa muda mrefu , nikianza kutembea pia visigino huuma pia.
Msaada waungwana kwa Mwenye kujua tiba yake
Mkuu pole kwa maradhi yako nione mimi ili niweze kukutibia na upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom