Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
bi dada, siku hizi kuna wa kijijini?Hahahaaaaa! Mfumo dume nao! Inaonekana kafungashia sana huyo bi dada akivaa suruali roho inakuenda mbio!!!! Kama unataka asievaa suruali, na anaekusikiliza, we nenda katafute KIJIJINI, wa huku mjini, tumeshajichokeaaa longi, UKOLONI MAMBOLEO umetutawala mapaka fikra!!!! Usawa mpaka mavazi!!! Hadi kitandani TUNAWAHI WOMAN ON TOP!!! Ikishindikana tunasettle for 69 position!!! LOL!!!
Shukuru umeishi zama za suruali, manake huko mbeleni wazungu watatembea bila nguo, na huku bongo lazima tuige!!!!
Hujajibu swali, uliandika hivi, "Ila Kutonishi rikisha Kama Atabadiri Nilichomuambia, Kulinikasirisha!" mimi nimekuuliza akushirikishe kwenye nini? unataka akuombe ruhusa kuvaa suruali ili asizidishe chachu katika muonekano wa maungo yake!? au una maana gani unaposema akushirikishe!? Kwa maoni yangu kuvaa suruali si kosa hata kama anapenda kunywa pombe lakini kwa kiasi hamtukani mtu wala kuanzisha ugomvi basi hakuna tatizo ila kama anakunywa mpaka anapitiliza na kutojifahamu kile akifanyacho basi inabidi muongee badala ya kususa.
kikubwa, hebu kaa ujifanyie kazi wewe mwenyewe.
Usipende kuwa 'dictator' kwenye mahusiano, wadada watakukimbia wote.
Unamwambia leo asivae suruali, wkati ukute ameanza vaa tangu kazaliwa, utawezaje?
Unatakiwa ku-accomodate mabadiliko hayo.
Sasa hivi mwache kwanza huyo binti, wala usimtafute maana bado umepanic. Napima panic hii kwa wewe kutaka kutafuta suluhisho la Limbwata.
Mapenzi Ni Maelewano, Kama Kuna Kikwazo Kinachofanya Mwenzio Aone Hujafata Alichoomba Toka Kwako,Yafaa Kumtaarifu Na Mkafikia Muafaka...Yeye Hakuniambia Kama Kuna Suala Litakalomzuia Kufata Maombi Yangu Kwake!
Mkuu Nazani Unajua Suruali Hasa Za Kubana Zinavyochoresha Maungo Ya Hawa Viumbe,Mi Sikupenda Mpenzi Wangu Avae Suruali Wakti Yuko Mbali Nami!
Nilishamtaarifu Kuwa Sitaki!
Ni kweli mapenzi ni maelewano. Kama hupendi avae suruali za kubana basi mfahamishe hivyo badala ya kumpiga marufuku kuvaa suruali kabisa, na kama ni kicheche hata akivaa gauni la kwendea msikitini la kuziba hadi nyayo bado anaweza kuufanya ukicheche wake bila tatizo lolote.
duh....kuna maajabu jamani.....khaaaa.......
Shangaa na wewe bibi hakimu!
Ni Miezi Miwili Sasa Toka Niachane Na Msichana Kipenzi Cha Nafsi Yangu,
Chanzo Ni Kwamba Hakutaka Nisikiliza Na Kunishirikisha Katika Uvaaji Wake Wa Suruali Na Kunywa Pombe Pale Nilipomzuia!
Kwa Hasira Na omba Yake Msamaha Nika Jivua(Tukaachana Ila Tukikutana Ni Salamu Tu)
Katika Harakati Za Utafutaji Imenilazimu Kuhama Mji Aliopo...sasa Niko Mbali Nae Yapata Miezi 2(Hakuna Mawasiliano)
Najitambua...Nasema Tena Najitambua Ila Kambi Yangu Inafuka Moshi Si Kidogo,Nilalapo Ndio Auheni Kwangu Kwani Huyu Binti Anatawala Sana Akili Yangu Kiasi Najikip Bize Kusoma Hadith Za Shigongo, Kuperuzi,Mazoezi N.k Ili Kumsahau,Lakini Ari Ni Tete!
Nilichoamua Sasa... Nimtafutie Dawa Itakayomfanya Nae Anipende Na Kunisikiliza Katika Yote Mema,Kama Nisikiavyo Kuwa Kuna Waganga Wa Haya Mambo(Limbwata)
Ama Nipate Dawa Ya Kumsahau Yeye!
Je,Wapi Nitapata Haya Mambo Mbali Na Utapeli Wa Mjini? Kwa Yeyote Anaefahamu AniPM TAFADHARI WAKUU!
NB😛ISHANA NAMI ILA HUSITUKANE ALAMA ZA MIGUU YANGU,KWANI UTOKAKO NDIKO NIENDAKO!
Ni Kweli Na Hasa Mkisikilizana Na Kushrikishana
kwa Mfano Kuna Siku Yeye Alinipangia Kuvaa Kaptura,Nikamtaarifu Kutokuwa Nayo Na Kumuomba Uchaguzi Mwingne Na Mambo Yakawa Sawa!
sio Dhambi Ila Kutonishirikisha Kama Atabadiri Nilichomuambia, Kulinikasirisha!
kila Mtu Anakila Hasichopenda Mpenzi Wake Afanye...Kuna Wengne Hawapendi Wapenzi Wao Wavae Hereni N.k
Mimi Sipendi Mpenzi Wangu Avae Suruali Kwani Ilizidisha Chachu Ktk Muonekano Wa Maungo Yake!
we Acha Tu "FP"..Kambi Inafuka Moshi,Najuta!
Shukrani Sana Ndugu!
Homa Ya kupenda,Ni Mbaya Sana Aisee!
Mazingira Ninayoishi Yametawaliwa Na Yeye Tu;Nione Msichana Mzuri...Fikra Zitaenda Kwake Yeye Na Kumuona Yeye Ndo Zaidi,Nisikie Nyimbo Nzuri Ya Mapenzi...fikra Ni Kama Imeimbwa Kwa Ajili Yake!
Aisee Huu Ugonjwa MBAYAAAA....!
Ushauri Wako Utanifaa Ndugu!
Naomba Sana Mungu Nijiepushe,
Dah!
kwani umemuoa
kama hujamuoa kwanini unampangia masharti
kumzuia kuvaa suruali inahusu!!!!
hata angevaa gunia kama hajatulia hajatulia tu
inavyoonyesha huna msimamo na mahusiano yako.
The End of the world as we know it.
Aisee.
jana nimeona matangazo kibao yanayo wafaa watu kama wewe.
Wanavuta wapenzi,wanatoa pesa za majini,
wanakuunganisha na freemason,hata ahera ukitaka wana kupeleka.
Dunia ni yako,chagua lolote mkuu.