Tiba ya genital warts kwa mwanaume

Tiba ya genital warts kwa mwanaume

Hiyo inapona vizuri Sana,unatakiwa kupata dawa ya kunywa siyo hizo za kupaka.Hao ni virusi wanakuwa kwenye damu.
Shida mnaamini sana za kidhungu,lakini hizi za kwetu Ni full package.
 
Hiyo inapona vizuri Sana,unatakiwa kupata dawa ya kunywa siyo hizo za kupaka.Hao ni virusi wanakuwa kwenye damu.
Shida mnaamini sana za kidhungu,lakini hizi za kwetu Ni full package.
Me nadhani zote zinaponesha kwasabab kuna waliotumia hizo za kunywa na hawakupona lakini baadae wakapona za kupaka, na kuna waliotumia za kupaka na hawakupona lakini baadae wakapona za kunywa, na wapo ambao hawajatumia kabisa za kunywa na wakapona kabisa kwa kupaka na wapo ambao walitumia za kunywa tuu bila kujaribu za kupaka na wakapona

So hapa tuna makundi ya mawili

Waliojaribu tiba zote wakaponea moja wapo
Na waliopona kwa tiba moja tu..

Hapo kila mtu anakuwa na imani yake, ngumu sana kusema usitumie hizi tumia zile..
 
Aise huu ugonjwa umening’ang’aniaga balaa hospitali nimeenda mpaka basi nimetumia podoflin kama mara tatu naishia tu kuungua ngozi. Kuna ile pensel imeishia kunichoma tu, kuna utomvu wa papai unauma balaa lakini wapi kuna vitungu swaumu mixer asali wapi, kupandisha kinga nishakula sana vitunguu swaumu wapi mpaka nikaamua kuvikata na wembe ndo nikaharibu zaidi. Kuna muda nashukuru zimenipunguzia michepuko kwa kuona aibu
Hujapona mpaka leo ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom