F FUSO JF-Expert Member Nov 19, 2010 31,637 37,850 Aug 1, 2011 #1 Wakuu, Nataka nende THT - Wapo wapi? napigwa mambo haya ati...
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,895 Aug 1, 2011 #2 mwenyewe nilienda pale moroco kinondoni nikawakosa.
Nduka JF-Expert Member Dec 3, 2008 8,552 2,360 Aug 1, 2011 #3 Karibu na Leaders, ukifika pale tu kwenye makutano ya barabara ya Tunisia na Ally Hassan Mwinyi utaona kibao hapo.
Karibu na Leaders, ukifika pale tu kwenye makutano ya barabara ya Tunisia na Ally Hassan Mwinyi utaona kibao hapo.