Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,673
- 40,919
Sasa tupo katika ulimwengu ambao teknolojia ndio msingi wa kila kitu.
Nikimaanisha kwamba Taifa lenye kufanya vumbuzi nyingi ndilo lenye nafasi kubwa ya kuwa na uchumi imara.
Uzi huu ni maalum kwa kuwatambua na kuwaenzi wavumbuzi wa kitanzania, katika nyanja zote zinazohusiana na maisha ya binadamu.
Pamoja na hayo ni katika kutaka kujua tu ni kwa namna gani Tanzania tuna mchango katika maendeleo ya mwanadamu.
Karibuni.
Nikimaanisha kwamba Taifa lenye kufanya vumbuzi nyingi ndilo lenye nafasi kubwa ya kuwa na uchumi imara.
Uzi huu ni maalum kwa kuwatambua na kuwaenzi wavumbuzi wa kitanzania, katika nyanja zote zinazohusiana na maisha ya binadamu.
Pamoja na hayo ni katika kutaka kujua tu ni kwa namna gani Tanzania tuna mchango katika maendeleo ya mwanadamu.
Karibuni.