This week's Big Match; Man United Vs Chelsea.. bet who will win it?

Who will win the EPL - BIG MATCH this weekend?


  • Total voters
    9

Godvictor

Member
Feb 7, 2010
10
1
:msela:Following the English Premier league (BARCLAYS PREMIER) start-up this season of Manchester United and Chelsea, who do you think will dominate/win the race at the BIG MATCH this weekend?
 

Attachments

  • 08-manchester-united-vs-chelsea.jpg
    08-manchester-united-vs-chelsea.jpg
    4.4 KB · Views: 33
Mechi kati ya Manchester na Chelsea itakuwa ngumu sana ingawa Manchester watashinda kwa magoli mengi 3 au 4.Manchester wako vizuri kuanzia nyuma katikati na mbele.Kipa wa Manchester David alianza vibaya lakini mechi tatu za mwisho Spurs ,Arsenal na Bolton ameonyesha uwezo mkubwa sana.Upande wa beki Manchester wako poa sana kuumia kwa Rio na Nemanja hakukuathiri ngome yao.Mwaka jana sehemu ya kiungo ilipwaya sana lakini mwaka huu Anderson na Clevely wamekamata barabara sehemu ya kiungo.Ushambuliaji ni balaa John Terry na safu nzima ya ulinzi ya Chalsea watapata wakati mgumu sana kuikabili safu ya ushambuliaji ya Manchester United ikiongozwa na Rooney,Chicharito,Young na Nani.
 
mhh,unauchambuzi mzuri lakini ukumbuke chelsea nao wako fiti balaa, yani itakuwa ni songombingo balaa!!
 
Match hii itakuwa ya upande mmoja...chelsea watafungwa si chini ya goli tatu.
 
Manchester ya sasa inashinda mechi za ugenini tofauti na mwaka jana.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom